Makambako1
Member
- Jan 17, 2020
- 25
- 38
Chama cha Wanasheria Wa Tanganyika (TLS) wamewasilisha mapendekezo yao kwa Kamati ya Sheria ya Bunge wakitaka muda wa kuwa madarakani kwa viongozi wake uwe miaka mitatu badala ya mwaka mmoja.
Pia wamependekeza mkutano mkuu uendelee kuwa kwa wanachama wote badala ya Mapendekezo ya Kamati kuwa uwe wa wawakilishi wa Kanda na Mikoa pekee.
Chanzo: Gazeti la Mwananchi
Pia wamependekeza mkutano mkuu uendelee kuwa kwa wanachama wote badala ya Mapendekezo ya Kamati kuwa uwe wa wawakilishi wa Kanda na Mikoa pekee.
Chanzo: Gazeti la Mwananchi