Tizeba na Mwijage mnamuangusha Rais

Tizeba na Mwijage mnamuangusha Rais

Mpango wa Rais Magufuli kuharakisha ujenzi wa viwanda ili kuinua uchumi wa nchi,kuzalisha ajira na vipato kwa masikini,unahitaji kuungwa mkono kwa kasi kubwa sana toka kwa mawaziri hawa wawili.

Waziri Mwijage anaonesha amekariri kuwa viwanda ni lazima watu watoke nje ya nchi waje na mitaji yao waanzishe viwanda.

Waziri Mwijage amekariri kiwanda ni eneo kubwa la ardhi ambalo linahitaji mchakato ili uanze kuzalisha.

Mwijage ameshindwa kabisa,kuiamsha SIDO,itengeneze mashine ndogo ambazo watakopeshwa wajasiriamali,tayari kuzalisha bidhaa kamili au malighafi kwa ajili ya kutumika kwenye viwanda vikubwa nchini.Hiyo ndio kazi ya SIDO.

SIDO imelala,wamemuachia Rais peke yake kuhangaika na kauli mbiu yake ya viwanda,wao wanakunywa mvinyo tu business as usual

Tizeba,wizara yake inahusika na ushirika,nitaomba radhi kama hahusiki na vyama vya ushirika

Tizeba ameshindwa kuumua ari ya wananchi kuanzisha ushirika wa uzalishaji mali,ili waweze kukopeshwa na SIDO mashine ambazo watazalisha mali.

Tizeba ameacha vyama vya ushirika viendelee na utamaduni wa kukopa mabenki na kununua mazao toka kwa wakulima,ambapo kwa utaratibu huu,mazao yetu yataendelea kukosa thamani kwa kuwa yatauzwa yakiwa ghafi.

Kwa mfano mashine ya kubangua korosho yenye uwezo wa kuchukua tani 4,korosho ghafi na kutoa tani 1 moja ya korosho iliobanguliwa kwa masaa 8,inauzwa china dola elfu 8
na kwa mashine hiyo utahitaji vijana au wakinamama kama 20 katika kazi nzima kuzunguka mashine

Tizeba na Mwijage,huu ni msimu wa korosho,mmeshindwa kumwagia hizo mashine vyama vya msingi kote ilimwapo korosho ili wabangue korosho yetu na kuiuza kwa thamani ya juu?

Ikumbukwe kwamba mfumo wa stakabadhi ghalani unaruhusu kukopea,kweli mmeshindwa kutengeneza mfumo ambao utamwaga hivyo vimashine vya dola 8,000 kusini yote na pwani.

Ifikie wakati sio kila jambo ahamasishe Rais,uanzishwaji wa viwanda unatakiwa uanze kwetu sisi,tena viwanda vidogo vitaokoa maisha ya wengi sana kwa njia ya ushirika kwa kua gharama za uendeshaji ni ndogo.

Tizeba na Mwijage,sera ya viwanda sio lele mama,kujenga kiwanda kimoja ni miaka miwili hadi mitatu,itafika 2020,tutakimbiana jamani,anzeni basi walau na viwanda vidogo,matunda yanaoza Handeni au mnasubiri Bakhressa apeleke kiwanda?waewezesheni wakulima kwa mashine ndogo za kukamua uji tu wa matunda ambao una soko kwa wenye viwanda vikubwa.

Tanzania ya viwanda inawezekana,tusimuache Rais peke yake
Mmmmhhh bado natafakari kwakweli
 
Mpango wa Rais Magufuli kuharakisha ujenzi wa viwanda ili kuinua uchumi wa nchi,kuzalisha ajira na vipato kwa masikini,unahitaji kuungwa mkono kwa kasi kubwa sana toka kwa mawaziri hawa wawili.

Waziri Mwijage anaonesha amekariri kuwa viwanda ni lazima watu watoke nje ya nchi waje na mitaji yao waanzishe viwanda.

Waziri Mwijage amekariri kiwanda ni eneo kubwa la ardhi ambalo linahitaji mchakato ili uanze kuzalisha.

Mwijage ameshindwa kabisa,kuiamsha SIDO,itengeneze mashine ndogo ambazo watakopeshwa wajasiriamali,tayari kuzalisha bidhaa kamili au malighafi kwa ajili ya kutumika kwenye viwanda vikubwa nchini.Hiyo ndio kazi ya SIDO.

SIDO imelala,wamemuachia Rais peke yake kuhangaika na kauli mbiu yake ya viwanda,wao wanakunywa mvinyo tu business as usual

Tizeba,wizara yake inahusika na ushirika,nitaomba radhi kama hahusiki na vyama vya ushirika

Tizeba ameshindwa kuumua ari ya wananchi kuanzisha ushirika wa uzalishaji mali,ili waweze kukopeshwa na SIDO mashine ambazo watazalisha mali.

Tizeba ameacha vyama vya ushirika viendelee na utamaduni wa kukopa mabenki na kununua mazao toka kwa wakulima,ambapo kwa utaratibu huu,mazao yetu yataendelea kukosa thamani kwa kuwa yatauzwa yakiwa ghafi.

Kwa mfano mashine ya kubangua korosho yenye uwezo wa kuchukua tani 4,korosho ghafi na kutoa tani 1 moja ya korosho iliobanguliwa kwa masaa 8,inauzwa china dola elfu 8
na kwa mashine hiyo utahitaji vijana au wakinamama kama 20 katika kazi nzima kuzunguka mashine

Tizeba na Mwijage,huu ni msimu wa korosho,mmeshindwa kumwagia hizo mashine vyama vya msingi kote ilimwapo korosho ili wabangue korosho yetu na kuiuza kwa thamani ya juu?

Ikumbukwe kwamba mfumo wa stakabadhi ghalani unaruhusu kukopea,kweli mmeshindwa kutengeneza mfumo ambao utamwaga hivyo vimashine vya dola 8,000 kusini yote na pwani.

Ifikie wakati sio kila jambo ahamasishe Rais,uanzishwaji wa viwanda unatakiwa uanze kwetu sisi,tena viwanda vidogo vitaokoa maisha ya wengi sana kwa njia ya ushirika kwa kua gharama za uendeshaji ni ndogo.

Tizeba na Mwijage,sera ya viwanda sio lele mama,kujenga kiwanda kimoja ni miaka miwili hadi mitatu,itafika 2020,tutakimbiana jamani,anzeni basi walau na viwanda vidogo,matunda yanaoza Handeni au mnasubiri Bakhressa apeleke kiwanda?waewezesheni wakulima kwa mashine ndogo za kukamua uji tu wa matunda ambao una soko kwa wenye viwanda vikubwa.

Tanzania ya viwanda inawezekana,tusimuache Rais peke yake



Wewe jamaa ni kionambali, wangekujua mapema wangeku MO
 
Viongozi wawe wanapita huku na kuchukua notes.. JF ina madini mengi sana!


Kwani wanajijua Mkuu, wakishapata vyeo wanaichukia sana JF na kusahau kwamba hapa ni shule kamili, wakitumbuliwa ndiyo wanazinduka na kurudi kuinanga siri kali hapa kwa fake IDs
 
Kikombe Kimefurika Ndiyo Wamekinywea
Kimeshindikana Kukiepuka
 
Huamini kilichowakuta?
Kwangu mimi walistahiki maaana Mh Rais aliwaonya sana hawa watu, Tzeba aliwahi kumkumbusha ata kupeleka Mbolea kule Rukwa ndiyo akaanza kukimbizana kupeleka mbolea kwa gari za jeshi, Huyo Muhaya kamuimbia weeee mpaka basi sasa waendee tu.
 
Tunachukuliana kawaida Sana humu,tuko na waheshimiwa wengi huwezi amini...
 
Kwangu mimi walistahiki maaana Mh Rais aliwaonya sana hawa watu, Tzeba aliwahi kumkumbusha ata kupeleka Mbolea kule Rukwa ndiyo akaanza kukimbizana kupeleka mbolea kwa gari za jeshi, Huyo Muhaya kamuimbia weeee mpaka basi sasa waendee tu.
Nshomile alikua akiharibu anakimbilia kwa Majaliwa na Tizeba ana madudu kwenye biashara ya mbolea,yatafumuka tu
 
Nshomile alikua akiharibu anakimbilia kwa Majaliwa na Tizeba ana madudu kwenye biashara ya mbolea,yatafumuka tu
Wasichojua ni kuwa jpm ni mtu wa matokeo sio *sound". Na wanaamini kuwa hajui kitu kwa hiyo wanacheza na propaganda tu. Kibaya hawapendi kushirikiana kiwizara kila mtu kivyake. Watu wanalalamika urasimu uanzishwaji viwanda , pembejeo malighafi wao wapo tu.
 
Wasichojua ni kuwa jpm ni mtu wa matokeo sio *sound". Na wanaamini kuwa hajui kitu kwa hiyo wanacheza na propaganda tu. Kibaya hawapendi kushirikiana kiwizara kila mtu kivyake. Watu wanalalamika urasimu uanzishwaji viwanda , pembejeo malighafi wao wapo tu.
Mizigo ya misumari
 
Mpango wa Rais Magufuli kuharakisha ujenzi wa viwanda ili kuinua uchumi wa nchi,kuzalisha ajira na vipato kwa masikini,unahitaji kuungwa mkono kwa kasi kubwa sana toka kwa mawaziri hawa wawili.

Waziri Mwijage anaonesha amekariri kuwa viwanda ni lazima watu watoke nje ya nchi waje na mitaji yao waanzishe viwanda.

Waziri Mwijage amekariri kiwanda ni eneo kubwa la ardhi ambalo linahitaji mchakato ili uanze kuzalisha.

Mwijage ameshindwa kabisa,kuiamsha SIDO,itengeneze mashine ndogo ambazo watakopeshwa wajasiriamali,tayari kuzalisha bidhaa kamili au malighafi kwa ajili ya kutumika kwenye viwanda vikubwa nchini.Hiyo ndio kazi ya SIDO.

SIDO imelala,wamemuachia Rais peke yake kuhangaika na kauli mbiu yake ya viwanda,wao wanakunywa mvinyo tu business as usual

Tizeba,wizara yake inahusika na ushirika,nitaomba radhi kama hahusiki na vyama vya ushirika

Tizeba ameshindwa kuumua ari ya wananchi kuanzisha ushirika wa uzalishaji mali,ili waweze kukopeshwa na SIDO mashine ambazo watazalisha mali.

Tizeba ameacha vyama vya ushirika viendelee na utamaduni wa kukopa mabenki na kununua mazao toka kwa wakulima,ambapo kwa utaratibu huu,mazao yetu yataendelea kukosa thamani kwa kuwa yatauzwa yakiwa ghafi.

Kwa mfano mashine ya kubangua korosho yenye uwezo wa kuchukua tani 4,korosho ghafi na kutoa tani 1 moja ya korosho iliobanguliwa kwa masaa 8,inauzwa china dola elfu 8
na kwa mashine hiyo utahitaji vijana au wakinamama kama 20 katika kazi nzima kuzunguka mashine

Tizeba na Mwijage,huu ni msimu wa korosho,mmeshindwa kumwagia hizo mashine vyama vya msingi kote ilimwapo korosho ili wabangue korosho yetu na kuiuza kwa thamani ya juu?

Ikumbukwe kwamba mfumo wa stakabadhi ghalani unaruhusu kukopea,kweli mmeshindwa kutengeneza mfumo ambao utamwaga hivyo vimashine vya dola 8,000 kusini yote na pwani.

Ifikie wakati sio kila jambo ahamasishe Rais,uanzishwaji wa viwanda unatakiwa uanze kwetu sisi,tena viwanda vidogo vitaokoa maisha ya wengi sana kwa njia ya ushirika kwa kua gharama za uendeshaji ni ndogo.

Tizeba na Mwijage,sera ya viwanda sio lele mama,kujenga kiwanda kimoja ni miaka miwili hadi mitatu,itafika 2020,tutakimbiana jamani,anzeni basi walau na viwanda vidogo,matunda yanaoza Handeni au mnasubiri Bakhressa apeleke kiwanda?waewezesheni wakulima kwa mashine ndogo za kukamua uji tu wa matunda ambao una soko kwa wenye viwanda vikubwa.

Tanzania ya viwanda inawezekana,tusimuache Rais peke yake
Humu kuna Maghost na fitina mnaijuwa.
 
Mpango wa Rais Magufuli kuharakisha ujenzi wa viwanda ili kuinua uchumi wa nchi,kuzalisha ajira na vipato kwa masikini,unahitaji kuungwa mkono kwa kasi kubwa sana toka kwa mawaziri hawa wawili.

Waziri Mwijage anaonesha amekariri kuwa viwanda ni lazima watu watoke nje ya nchi waje na mitaji yao waanzishe viwanda.

Waziri Mwijage amekariri kiwanda ni eneo kubwa la ardhi ambalo linahitaji mchakato ili uanze kuzalisha.

Mwijage ameshindwa kabisa,kuiamsha SIDO,itengeneze mashine ndogo ambazo watakopeshwa wajasiriamali,tayari kuzalisha bidhaa kamili au malighafi kwa ajili ya kutumika kwenye viwanda vikubwa nchini.Hiyo ndio kazi ya SIDO.

SIDO imelala,wamemuachia Rais peke yake kuhangaika na kauli mbiu yake ya viwanda,wao wanakunywa mvinyo tu business as usual

Tizeba,wizara yake inahusika na ushirika,nitaomba radhi kama hahusiki na vyama vya ushirika

Tizeba ameshindwa kuumua ari ya wananchi kuanzisha ushirika wa uzalishaji mali,ili waweze kukopeshwa na SIDO mashine ambazo watazalisha mali.

Tizeba ameacha vyama vya ushirika viendelee na utamaduni wa kukopa mabenki na kununua mazao toka kwa wakulima,ambapo kwa utaratibu huu,mazao yetu yataendelea kukosa thamani kwa kuwa yatauzwa yakiwa ghafi.

Kwa mfano mashine ya kubangua korosho yenye uwezo wa kuchukua tani 4,korosho ghafi na kutoa tani 1 moja ya korosho iliobanguliwa kwa masaa 8,inauzwa china dola elfu 8
na kwa mashine hiyo utahitaji vijana au wakinamama kama 20 katika kazi nzima kuzunguka mashine

Tizeba na Mwijage,huu ni msimu wa korosho,mmeshindwa kumwagia hizo mashine vyama vya msingi kote ilimwapo korosho ili wabangue korosho yetu na kuiuza kwa thamani ya juu?

Ikumbukwe kwamba mfumo wa stakabadhi ghalani unaruhusu kukopea,kweli mmeshindwa kutengeneza mfumo ambao utamwaga hivyo vimashine vya dola 8,000 kusini yote na pwani.

Ifikie wakati sio kila jambo ahamasishe Rais,uanzishwaji wa viwanda unatakiwa uanze kwetu sisi,tena viwanda vidogo vitaokoa maisha ya wengi sana kwa njia ya ushirika kwa kua gharama za uendeshaji ni ndogo.

Tizeba na Mwijage,sera ya viwanda sio lele mama,kujenga kiwanda kimoja ni miaka miwili hadi mitatu,itafika 2020,tutakimbiana jamani,anzeni basi walau na viwanda vidogo,matunda yanaoza Handeni au mnasubiri Bakhressa apeleke kiwanda?waewezesheni wakulima kwa mashine ndogo za kukamua uji tu wa matunda ambao una soko kwa wenye viwanda vikubwa.

Tanzania ya viwanda inawezekana,tusimuache Rais peke yake

Mwijage au Tizeba leo wakisoma hili bandiko wanatamani kama wangekusikiliza ushauri wako! Duh!
 
Back
Top Bottom