"KILA MTU ABEBE MSALABA WAKE, SERIKALI HAINA MASHAMBA, SITATOA CHAKULA CHA BURE"
Ni nukuu ya maneno yaliyosema na Magufuli, wiki iliyopita akiwa ziarani Kagera.
My Take.
Rais hana muda wala mpango wa kushughulikia baa la njaa nchini. Kuendelea kumlilia ni kupoteza muda tu na kutazidi kumkera na mwisho wa siku huenda akashusha adhabu kali kwa wanaomlilia.