Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Kuwa mpaka leo bado umeshindwa kuwafaham bakwata na umeshindwa kuwafaham ccm, na ukawa ni muislamu basi lazima utakua una matatizo ya akili kidogo.
Inasikitisha sana kuona waislamu wanaishabikia ccm. Kujifahamu nakutojitambia ni tatizo kubwa linayoikabili jamii yetu ya kiislamu
mi n muislam ninaejitambua na hata cku moja huwez Nikuta nashabikia uvyama na nafaham kuwa bakwata ni chombo ambacho sio sahihi kukiamin coz kpo chin ya dola na hata alieisis kihistolia hayupo sawa na hat viongoz wake ukiwafuatilia in haohao ninachopinga mm in kumkufulisha muislam bila kumsimamishia hoja, coz wapo waislaam wanajua kwa uelewa wao kuwa n chombo sahihi kabisa lakin coz hawana elim juu ya bakwata
 
Huyu sheikh Ponda ananini na serikali yetu ? Kweli hakuna mtu wa kuweza kumnyoa ndevu atulie ? Elm dunia hana na nina wasiwasi hajakwenda hijja au jandoni
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
KABAMBE
 
mi n muislam ninaejitambua na hata cku moja huwez Nikuta nashabikia uvyama na nafaham kuwa bakwata ni chombo ambacho sio sahihi kukiamin coz kpo chin ya dola na hata alieisis kihistolia hayupo sawa na hat viongoz wake ukiwafuatilia in haohao ninachopinga mm in kumkufulisha muislam bila kumsimamishia hoja, coz wapo waislaam wanajua kwa uelewa wao kuwa n chombo sahihi kabisa lakin coz hawana elim juu ya bakwata

Sijamwita muislamu anewafata bakwata kafiri, ila nimesema bakwata ndo makafiri.

Na webu nambie Muislamu ambae anavaa koti la uwongozi wa uislamu halafu kumbe hatumikii uislamu bali anawatumikia maadui wa uislamu kwa waislamu huyo ni nani? Muumin au?
 
Sijamwita muislamu anewafata bakwata kafiri, ila nimesema bakwata ndo makafiri.

Na webu nambie Muislamu ambae anavaa koti la uwongozi wa uislamu halafu kumbe hatumikii uislamu bali anawatumikia maadui wa uislamu kwa waislamu huyo ni nani? Muumin au?
nadhan jibu nlikupa kwenye Uzi uliopita angalia kwa making nlisema hukumu hiyo inawaenea viongoz tens wanaolijua hlo swala ila wapo hawa was kwetu huku maskin hawajui hili wala lile wao wanajua n chombo kitakatfu so elimu ya kutosha itawasaidia
 
Sijamwita muislamu anewafata bakwata kafiri, ila nimesema bakwata ndo makafiri.

Na webu nambie Muislamu ambae anavaa koti la uwongozi wa uislamu halafu kumbe hatumikii uislamu bali anawatumikia maadui wa uislamu kwa waislamu huyo ni nani? Muumin au?
Hao maadui ni kina nani?
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Allah amuweke mahala pema peponi al-marhum Sheikh Hemed bin Juma bin Hemed.Alikuwa kiongozi kweli.Mweledi,mwenye elimu,busara,hekima na aliyejaaliwa kuwa muadilifu.
Allah amsitiri kwa mapungufu yake yoyote ya kibinaadamu.
 
Hali si shwari ndani ya Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) na sasa kundi la viongozi ndani ya baraza hilo wanakula njama za kumuondoa kiongozi wao makini Mufti Zubeir.

Hali hiyo inakuja huku zaidi ya miezi miwili Bakwata haina ofisi na zaidi ya wafanyakazi 50 wa Bakwata Makao Makuu hawajalipwa mishahara yao kwa zaidi miezi kumi na moja(11).

Kadhalika zaidi ya walimu kumi na tano wa shule ya Bondeni Arusha hajalipwa mishahara yao, na huku Baraza lote la Masheikh la mkoa wa Katavi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bakwata Mkoa wa Katavi kujiuzulu kutokana na kutokuwa na IMANI na mufti zuberi.

Tayari zipo taarifa sasa za kuandaliwa mpango wa kuondolewa madarakani mufti kutokana kile kinachodaiwa kwamba ni kushindwa kuongoza Bakwata na ubadhirifu mkubwa wa mali za Bakwata uliofanywa na mufti na ndugu zake wa karibu.

Wajumbe kadhaa wa Baraza la masheikh Taifa wanajiandaa kutumia katiba ya Bakwata kumuengua mufti katika nafasi yake ya umufti kabla ya mwisho wa mwaka huu.

Wakati wajumbe wengine kumi wa halmashauri kuu ya Bakwata Taifa wakijiandaa kuwasilisha hoja ya kutokuwa na Imani na mufti katika kikao kijacho ili kutoa nafasi ya mufti kujiuzulu kabla hawajatoa taarifa za siri za ubadhilifu mkuu wanaoujua wajumbe hao dhidi ya mufti.

Wakati huo huo viongozi wa Bakwata toka mikoa mitano, wanajiandalia kujiuzulu kutokana na kuchoshwa kwao na vitendo vya mufti Zuberi. Vitendo hivyo ikiwa ni pamoja na mufti Zuberi kuingiza Bakwata kwa miaka miwili sasa bila muelekeo wowote, huku vitendo vya ubadhirifu, ubinafsishaji wa mali za bakwata na ubabaishaji kushika kasi na ndugu wa mufti kupewa kipaumbele bila kuzingatia katiba ya Bakwata.


Updates:

Masheikh watatu ambao ni wajumbe wa baraza la ulamaa taifa Bakwata,wakishirikiana na sheikh mkuu wa dar es salaam,sheikh mkuu wa tabora,pamoja na kiongozi mwandamizi wa zamani wa Bakwata ndio wanasuka mpango wa kumuondoa mufti wa Tanzania Abubakar Zuberi.

Mpango huo ulioandali kwa umakini mkubwa,huenda ukamfanya mufti Zuberi kuwa ni mufti wa kwanza kuenguliwa katika historia ya bakwata na kupelekea mufti kwa mara ya kwanza kutoka Rufiji.

Mpango ambao ulikuwa utekelezwe wakati Mufti Zuberi akiwa yupo Morocco,ambao kwa sasa utatekelezwa wakati wowote.

Nitaendelea kuwapa update!!!
tetesi zako zita timia lini? mbona kimya kime tamalaki
 
Kuwa mpaka leo bado umeshindwa kuwafaham bakwata na umeshindwa kuwafaham ccm, na ukawa ni muislamu basi lazima utakua una matatizo ya akili kidogo.
Inasikitisha sana kuona waislamu wanaishabikia ccm. Kujifahamu nakutojitambia ni tatizo kubwa linayoikabili jamii yetu ya kiislamu
Sasa huo ni UDINI .... je ni chama gani cha kisiasa kando na CCM ambacho ni cha WAISLAMU tupu?
 
Sasa huo ni UDINI .... je ni chama gani cha kisiasa kando na CCM ambacho ni cha WAISLAMU tupu?

Unaposemwa ukweli inakua ni udini.
sijasema kama kuna chama cha waislamu. Ila Ccm ni chama cha kikatoliki, na moja katika ajenda zake kubwa ni kuukandamiza uislamu.
 
Unaposemwa ukweli inakua ni udini.
sijasema kama kuna chama cha waislamu. Ila Ccm ni chama cha kikatoliki, na moja katika ajenda zake kubwa ni kuukandamiza uislamu.
Viongozi wa Bakwata kwa 'ufadhili' mkubwa wa serikali wamekua vipofu na viziwi
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Suub-hanna-allahu! Fumanizi kabisaa?
 
Back
Top Bottom