mi n muislam ninaejitambua na hata cku moja huwez Nikuta nashabikia uvyama na nafaham kuwa bakwata ni chombo ambacho sio sahihi kukiamin coz kpo chin ya dola na hata alieisis kihistolia hayupo sawa na hat viongoz wake ukiwafuatilia in haohao ninachopinga mm in kumkufulisha muislam bila kumsimamishia hoja, coz wapo waislaam wanajua kwa uelewa wao kuwa n chombo sahihi kabisa lakin coz hawana elim juu ya bakwataKuwa mpaka leo bado umeshindwa kuwafaham bakwata na umeshindwa kuwafaham ccm, na ukawa ni muislamu basi lazima utakua una matatizo ya akili kidogo.
Inasikitisha sana kuona waislamu wanaishabikia ccm. Kujifahamu nakutojitambia ni tatizo kubwa linayoikabili jamii yetu ya kiislamu