choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,651
- 2,990
Nadhani tumeona yaliyowakuta Azam jana, ila najiuliza ni kwanini timu za Tanzania zikienda matuta na timu za nje michuano ya kimataifa ni lazima sisi tupigwe?
Mara ya mwisho kushinda matuta sijui ni lini ila kwa vipigo
2012- simba vs Al ahly ya sudan
2014- Yanga vs Al Ahly ya Misri
2021- Simba vs kaizer chiefs
2023- simba vs wydad
2023- Azam
Ni kwamba hatuko serious ama ni nini?
Mara ya mwisho kushinda matuta sijui ni lini ila kwa vipigo
2012- simba vs Al ahly ya sudan
2014- Yanga vs Al Ahly ya Misri
2021- Simba vs kaizer chiefs
2023- simba vs wydad
2023- Azam
Ni kwamba hatuko serious ama ni nini?