Hiyo ni kazi ya refa na kamati yake ya waamuzi. Asipo simamia sheria 17 kwa weledi mpira raha kwa watazamaji hutoweka.serikali iliangalie hili.
natizama mechi ya simba na jkt gani sijui hawa. yaani simba wanacheza mpira lakini hawa jkt wanacheza rafu tu.
mugalu kapigwa buti kapoteza fahamu. sasa katolewa.
manula kapigwa kichwa makusudi nadhani sasa atakuwa anapelekwa hospitali.
mambo ya hovyo sana.
Yes, baada ya kuumiaIna maana Manula katoka?
Ina maana Manula katoka?
Hao watakuwa wamepewa contract na Utopolo kuwaumiza wachezaji wa Simba ili kuidhoofisha, hawa vibwengo wa Utopolo wamechanganyikiwa mbaya na mafanikio ya Simba.serikali iliangalie hili.
natizama mechi ya simba na jkt gani sijui hawa. yaani simba wanacheza mpira lakini hawa jkt wanacheza rafu tu.
mugalu kapigwa buti kapoteza fahamu. sasa katolewa.
manula kapigwa kichwa makusudi nadhani sasa atakuwa anapelekwa hospitali.
mambo ya hovyo sana.
Dada mkubwa tuliza kishuzi hicho uzae salamaMkuu, hii habari ungeipeleka jukwaa husika la "sports" ingependeza zaidi. Ni vigumu kupata watu wa kukufariji kwa hizo mambo za Simba a.k.a mikia ama wazee wa waviswaswadu.
Hii ni zalau (katika lafudhi ya mateja)... hapa mwisho mjeda mmoja kala tobo, kaja mwingine kavalishwa kikoi 😆😆😆
Subutu atoe kadi kama anataka kutembelea kucha za miguu.Refa kapoteza Kadi ?
Umenikumbusha mechi za mchangani mguu wa shingo,mguu wa roho😁😁 chenga mbili kiatuserikali iliangalie hili.
natizama mechi ya simba na jkt gani sijui hawa. yaani simba wanacheza mpira lakini hawa jkt wanacheza rafu tu.
mugalu kapigwa buti kapoteza fahamu. sasa katolewa.
manula kapigwa kichwa makusudi nadhani sasa atakuwa anapelekwa hospitali.
mambo ya hovyo sana.
Timu za Jeshi zifutwe VPL h je hizo zisizo za Kijeshi ulishafanya nazo Vikao na Kukutuma uje useme ( utuandikie ) hivi? Hoja yako ni dhaifu ( Utopolo ) kabisa Ndugu.serikali iliangalie hili.
natizama mechi ya simba na jkt gani sijui hawa. yaani simba wanacheza mpira lakini hawa jkt wanacheza rafu tu.
mugalu kapigwa buti kapoteza fahamu. sasa katolewa.
manula kapigwa kichwa makusudi nadhani sasa atakuwa anapelekwa hospitali.
mambo ya hovyo sana.
UsMatusi ni kosa la jinai ndugu, ila hao unaowatukana hadi sheria ichukue mkondo wake utakua tayari umesiganishwa taya, ogopa Sana
Kuna tusi hapo? Au hujui maana ya tusi? Nani katukanwa hapo? We vp Tusitishane mpuuzi mmoja weweKuwa makini sana, unapokuwa unatukana mitandaoni,
Ni jeshi la wokovu kutoboka ni kufungwa goli mkuuwanatobokaje mkuu?
Kuwa makini sana, unapokuwa unatukana mitandaoni,