Timu ya Yanga yapata ajali Mikese

Timu ya Yanga yapata ajali Mikese

M.E.M.A

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
1,373
Reaction score
472
YANGA WANUSURIKA: Wachezaji wa Timu ya Yanga na viongozi wanusurika asubuhi hii kufuatia basi lao kuingia kwenye mtaro Mikese, Morogoro, wote wako salama.

Ikumbukwe Yanga jana jioni walishuka katika dimba la Jamhuri mjini Moro kuvaana na wana tam tam Mtibwa Sugar ya Manungu. Mechi ambayo iliisha kwa suluhu ya bila kufungana.

Picha za ajali
:

attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • yanga1.jpeg
    yanga1.jpeg
    30.2 KB · Views: 4,825
  • yanga 2.jpg
    yanga 2.jpg
    20.7 KB · Views: 4,712
Hiyo ajali kama kuna yeyote aliyeumia tunamwombea apone mapema baada ya pambano lao dhidi ya Simba.
 
yanga.jpg
Bus la timu ya Young Africans lililokuwa limebeba wachezaji pamoja na viongozi wa benchi la ufundi limepata ajali eneo na Mikese Mizani baada ya Mabus yaliyokua yakitanua kuelekea mikoa ya bara kuziba njia na kusababisha kutumbukia kwenye mtaro.
yanga.jpg
Kocha wao akipitia Dirishani Pole sana kocha ndo kazi zenyewe hizo.
yanga.jpg
 
View attachment 145146
Bus la timu ya Young Africans lililokuwa limebeba wachezaji pamoja na viongozi wa benchi la ufundi limepata ajali eneo na Mikese Mizani baada ya Mabus yaliyokua yakitanua kuelekea mikoa ya bara kuziba njia na kusababisha kutumbukia kwenye mtaro.
View attachment 145147
Kocha wao akipitia Dirishani Pole sana kocha ndo kazi zenyewe hizo.

....Ah ? Ajali? Jamani ajali sio mchezo..... sema limekwama
 
....Ah ? Ajali? Jamani ajali sio mchezo..... sema limekwama
Ngoja niwekee na video alafu usema ni kukwama huko lilikuwa linalalia upande wa kushoto kelele za hapo subili utaona mda si mrefu...
 
Bus la timu ya Yanga lililokuwa limebeba wachezaji pamoja na viongozi wa benchi la ufundi limepata ajali(limepinduka)eneo la Mikese leo saa tatu na nusu asubuhi.Yanga walikuwa wakirudi Dar toka Moro walikocheza mechi ya ligi kuu ya Vodacom hapo jana dhidi ya Mtibwa kwenye uwanja wa Jamhuri.Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa.(Source-East African Radio)
 
Back
Top Bottom