B Benderea JF-Expert Member Joined May 25, 2021 Posts 687 Reaction score 1,318 Sep 10, 2022 #1 Timu ya wanachi Nyasa Big Bullets kama inavoitwa Malawi ndio timu pendwa kuliko zote. Je nyau atapona leo ? tusubiri dakika 90.
Timu ya wanachi Nyasa Big Bullets kama inavoitwa Malawi ndio timu pendwa kuliko zote. Je nyau atapona leo ? tusubiri dakika 90.
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 40,915 Reaction score 119,296 Sep 10, 2022 #2 Acha kuwatisha watu. Imagine mpaka muda huu matumaini yao yote ya kuvuka hatua inayo fuata, wamemkabidhi Juma Mgunda! aka Guardiola mnene/Pitso Mosimane wa Bongo!
Acha kuwatisha watu. Imagine mpaka muda huu matumaini yao yote ya kuvuka hatua inayo fuata, wamemkabidhi Juma Mgunda! aka Guardiola mnene/Pitso Mosimane wa Bongo!
kashimbe JF-Expert Member Joined Jun 10, 2020 Posts 210 Reaction score 474 Sep 10, 2022 #3 We mwana uto unajingamba uku unacheza na katim kamekuja kwaataabu,manara alishawambia yakuwa,wenye akili huko utopoloni ni babake na Jk basi
We mwana uto unajingamba uku unacheza na katim kamekuja kwaataabu,manara alishawambia yakuwa,wenye akili huko utopoloni ni babake na Jk basi