ThisIsAfrikaMozambiq na Rwanda taa zimezima dakkika ya 70, Mozq 2 : Rwanda 0
Duh kumbe walifungiwa hotelini 😂😂😂Wamepambana sana kwasababu walipata changamoto nyingi ikiwa ni pamoja na kufungiwa hotelini
Yeah walipata majanga sana huko,nadhani Egypt walirelax wakadhani watakuja wakiwa stressed na wangejipigia tuDuh kumbe walifungiwa hotelini 😂😂😂
Wakenya mumesahau kile kichapo tuliwapa tukawatoa kwenye kinyanganyiro cha kufuzu CHAN 😂😂😂Tanzania mumesahau ile kichapo cha mbwa tuliyowapa Afcon?
Huku wakiwa wamesafiri kwa shida na ukata mkubwa timu ya taifa ya Kenya imeweza kupata sare ugenini ya 1:1 mbele ya Mafarao wa Misri. Yanga na Zahera wana kitu cha kujifunza.