7. Munde Tambwe
Huyu ni mbunge wa viti maalumu kupitia CCM. Katika kipindi kifupi huyu dada amekuwa haeleweki yuko kambi gani, amekuwa mtu wa kuhama hama kila kukicha na hii tabia yake utawaliwa na ukwasi wa kupata ela haraka haraka. Kwanza kabisa alikuwa kambi ya Lowassa hasa katika kipindi cha uchaguzi wa 2010 na 2012 uchaguzi wa chama, alipoona kwa lowassa hakuna mrija wa ela kwani ela zinapelekwa kwa (wajane, kusaidia yatima, kuboresha elimu, kusaidia wahitaji, masikini makanisani na misikitini) akaamua kukimbia kambi na kwenda penye fedha. Aliweza kukimbilia katika kambi ya Ngeleja na ndipo Ngeleja pasipokujua nia ya huyu dada alimpa takriban million 10 (Peackcook hotel, 14/2/2014) ili aanze kuorganize wanawake wa UWT mikoa yote kwa ajili ya kumsapoti Ngeleja. Munde kama Bulembo na Masaburi ni matapeli wakubwa na hata huyu Munde kama mnakumbuka yeye na dada yake wameweza kuhusishwa katika uuzaji wa unga. Mpaka naandika uzi huu dada yake yuko ndani kwani alikamatwa na unga katika uwanja wa JK nyerere tayari kwa kuipeleka Italy. Munde akuanza haya mamba leo kama mtakumbuka mnamo mwaka 2004 alikuwa moja wa washitakiwa wakubwa (Prime Suspects) katika halmashauri ya Tabora alipokuwa kama mhasibu msaidizi katika halmashauri hiyo (Rejea kesi maarufu kama Mama Khalfan). Kitu kilichopelekea kufukuzwa kazi katika halmashauri hiyo, vile vile watu walishangaa ni jinsi gani aliweza kuwa msaidizi uhasibu wakati elimu yake ni darasa la saba, ingawa kwa wakati ule labda tunaweza kusema wasomi walikuwa wachache.
Asante