PreGE2025 Timu ya Kampeni ya 'Mama Asemewe' watinga mtaani kumsemea Rais Samia

PreGE2025 Timu ya Kampeni ya 'Mama Asemewe' watinga mtaani kumsemea Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

upupu255

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
356
Reaction score
491
Katika kuadhimisha Wiki ya Mama, Timu ya Kampeni ya Mama Asemewe imefanya ziara katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, ambapo wameeleza umuhimu wa kuchagua viongozi bora kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 pamoja na kuonyesha kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Timu hiyo, ikiongozwa na Bw. John Danda Katibu mkuu wa Samia for Us, Makamu Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama Asemewe Bi. Verynance Mrema na Anna Kivuyo, Naibu Katibu Mkuu wa Samia for Us, imewahamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura na kuwalekeza juu ya mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia katika kipindi cha miaka minne madarakani.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika ziara hiyo iliyofanyika tarehe 20 Machi 2025, wananchi walielezwa kuhusu miradi ya maendeleo, juhudi za kuboresha huduma za jamii, na mchango mkubwa wa Rais Samia katika kukuza uchumi wa nchi.

Aidha, wananchi walieleza kuridhika kwao na mafanikio yaliyopatikana katika nyanja mbalimbali, kama vile elimu, afya, miundombinu, na uchumi, katika kipindi cha miaka minne chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Wananchi wameonesha shukrani zao kwa Serikali kwa hatua zinazochukuliwa katika kuboresha maisha yao na ustawi wa taifa.

Aidha Ziara hiyo imejikita katika kuhamasisha wananchi kuwa na uelewa mkubwa kuhusu kuchagua ongozi bora na umuhimu wa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kukuza maendeleo ya taifa.

 
Hawa Chawa hawawezi kujibu HOJA za CHADEMA na ACT WAZALENDO za kwamba mfumo wa Uchaguzi hauko FAIR wala HURU unawapendelea CCM haufuati matakwa ya Watanzania.
 
Katika kuadhimisha Wiki ya Mama, Timu ya Kampeni ya Mama Asemewe imefanya ziara katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, ambapo wameeleza umuhimu wa kuchagua viongozi bora kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 pamoja na kuonyesha kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Timu hiyo, ikiongozwa na Bw. John Danda Katibu mkuu wa Samia for Us, Makamu Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama Asemewe Bi. Verynance Mrema na Anna Kivuyo, Naibu Katibu Mkuu wa Samia for Us, imewahamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura na kuwalekeza juu ya mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia katika kipindi cha miaka minne madarakani.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika ziara hiyo iliyofanyika tarehe 20 Machi 2025, wananchi walielezwa kuhusu miradi ya maendeleo, juhudi za kuboresha huduma za jamii, na mchango mkubwa wa Rais Samia katika kukuza uchumi wa nchi.

Aidha, wananchi walieleza kuridhika kwao na mafanikio yaliyopatikana katika nyanja mbalimbali, kama vile elimu, afya, miundombinu, na uchumi, katika kipindi cha miaka minne chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Wananchi wameonesha shukrani zao kwa Serikali kwa hatua zinazochukuliwa katika kuboresha maisha yao na ustawi wa taifa.

Aidha Ziara hiyo imejikita katika kuhamasisha wananchi kuwa na uelewa mkubwa kuhusu kuchagua ongozi bora na umuhimu wa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kukuza maendeleo ya taifa.

Pesa inatafutwa jaman. Uchawa sasa imekua ni ajira rasmi. Napendekeza sasa kada hii ianze kufanyiwa usahili ili kupata machawa bora zaidi maana sasa kada hii imeshakua na wahitimu wengi sana kwa muda mfupi tu.
 
Pesa inatafutwa jaman. Uchawa sasa imekua ni ajira rasmi. Napendekeza sasa kada hii ianze kufanyiwa usahili ili kupata machawa bora zaidi maana sasa kada hii imeshakua na wahitimu wengi sana kwa muda mfupi tu.
Wewe unauona uchawa kama ajira mpya katika kizazi hiki. Mimi naouona uchawa kama adui wa nne wa Taifa hili, ukiachana na maradhi, ujinga na umaskini!
 
Pesa inatafutwa jaman. Uchawa sasa imekua ni ajira rasmi. Napendekeza sasa kada hii ianze kufanyiwa usahili ili kupata machawa bora zaidi maana sasa kada hii imeshakua na wahitimu wengi sana kwa muda mfupi tu.
Pia litambulishwe somo la uchawa mashuleni, waanze kujifunza mapema.
 
Katika kuadhimisha Wiki ya Mama, Timu ya Kampeni ya Mama Asemewe imefanya ziara katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, ambapo wameeleza umuhimu wa kuchagua viongozi bora kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 pamoja na kuonyesha kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Timu hiyo, ikiongozwa na Bw. John Danda Katibu mkuu wa Samia for Us, Makamu Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama Asemewe Bi. Verynance Mrema na Anna Kivuyo, Naibu Katibu Mkuu wa Samia for Us, imewahamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura na kuwalekeza juu ya mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia katika kipindi cha miaka minne madarakani.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika ziara hiyo iliyofanyika tarehe 20 Machi 2025, wananchi walielezwa kuhusu miradi ya maendeleo, juhudi za kuboresha huduma za jamii, na mchango mkubwa wa Rais Samia katika kukuza uchumi wa nchi.

Aidha, wananchi walieleza kuridhika kwao na mafanikio yaliyopatikana katika nyanja mbalimbali, kama vile elimu, afya, miundombinu, na uchumi, katika kipindi cha miaka minne chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Wananchi wameonesha shukrani zao kwa Serikali kwa hatua zinazochukuliwa katika kuboresha maisha yao na ustawi wa taifa.

Aidha Ziara hiyo imejikita katika kuhamasisha wananchi kuwa na uelewa mkubwa kuhusu kuchagua ongozi bora na umuhimu wa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kukuza maendeleo ya taifa.

Wange ni add hawa
 
Pesa inatafutwa jaman. Uchawa sasa imekua ni ajira rasmi. Napendekeza sasa kada hii ianze kufanyiwa usahili ili kupata machawa bora zaidi maana sasa kada hii imeshakua na wahitimu wengi sana kwa muda mfupi tu.
Mwijaku awe profesa wao maana hakuna wa kumkaribia. Kama amefikia mpaka kunajisi Kaaba mahali patakatifu kwa swala za uchawa na kuombea wapinzani Allah Ashughulike nao, sidhani kama kuna hata wa kumkaribia. Tanzania!
 
Katika kuadhimisha Wiki ya Mama, Timu ya Kampeni ya Mama Asemewe imefanya ziara katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, ambapo wameeleza umuhimu wa kuchagua viongozi bora kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 pamoja na kuonyesha kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Timu hiyo, ikiongozwa na Bw. John Danda Katibu mkuu wa Samia for Us, Makamu Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama Asemewe Bi. Verynance Mrema na Anna Kivuyo, Naibu Katibu Mkuu wa Samia for Us, imewahamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura na kuwalekeza juu ya mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia katika kipindi cha miaka minne madarakani.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika ziara hiyo iliyofanyika tarehe 20 Machi 2025, wananchi walielezwa kuhusu miradi ya maendeleo, juhudi za kuboresha huduma za jamii, na mchango mkubwa wa Rais Samia katika kukuza uchumi wa nchi.

Aidha, wananchi walieleza kuridhika kwao na mafanikio yaliyopatikana katika nyanja mbalimbali, kama vile elimu, afya, miundombinu, na uchumi, katika kipindi cha miaka minne chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Wananchi wameonesha shukrani zao kwa Serikali kwa hatua zinazochukuliwa katika kuboresha maisha yao na ustawi wa taifa.

Aidha Ziara hiyo imejikita katika kuhamasisha wananchi kuwa na uelewa mkubwa kuhusu kuchagua ongozi bora na umuhimu wa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kukuza maendeleo ya taifa.

You mean group lingine la chawa
 
Katika kuadhimisha Wiki ya Mama, Timu ya Kampeni ya Mama Asemewe imefanya ziara katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, ambapo wameeleza umuhimu wa kuchagua viongozi bora kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 pamoja na kuonyesha kazi kubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Timu hiyo, ikiongozwa na Bw. John Danda Katibu mkuu wa Samia for Us, Makamu Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama Asemewe Bi. Verynance Mrema na Anna Kivuyo, Naibu Katibu Mkuu wa Samia for Us, imewahamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura na kuwalekeza juu ya mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia katika kipindi cha miaka minne madarakani.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika ziara hiyo iliyofanyika tarehe 20 Machi 2025, wananchi walielezwa kuhusu miradi ya maendeleo, juhudi za kuboresha huduma za jamii, na mchango mkubwa wa Rais Samia katika kukuza uchumi wa nchi.

Aidha, wananchi walieleza kuridhika kwao na mafanikio yaliyopatikana katika nyanja mbalimbali, kama vile elimu, afya, miundombinu, na uchumi, katika kipindi cha miaka minne chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Wananchi wameonesha shukrani zao kwa Serikali kwa hatua zinazochukuliwa katika kuboresha maisha yao na ustawi wa taifa.

Aidha Ziara hiyo imejikita katika kuhamasisha wananchi kuwa na uelewa mkubwa kuhusu kuchagua ongozi bora na umuhimu wa kuendelea kushirikiana na Serikali katika kukuza maendeleo ya taifa.

Daktari 😂😂😂😂😂😂
 
Mwijaku awe profesa wao maana hakuna wa kumkaribia. Kama amefikia mpaka kunajisi Kaaba mahali patakatifu kwa swala za uchawa na kuombea wapinzani Allah Ashughulike nao, sidhani kama kuna hata wa kumkaribia. Tanzania!
Huyo ni chawa asiyekuwa na akili, anasahau kua mambo huwa yanabadilika....
 
Back
Top Bottom