Timu tano (5) bora kwa msimu wa 2024/25

Timu tano (5) bora kwa msimu wa 2024/25

Nomadiq

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
7,924
Reaction score
20,912
Shalom wakuu.

5. Tottenham
Imemaliza mkiani EPL(17), ila inastahili baada ya kutwaa Europa hivyo kuingia UCL.

4. Liverpool
The Reds msimu huu wametwaa EPL, walikua bora sana kabla ya kupoteana mwishoni mwishoni.

3. Inter Milan
  • UCL Finalists
  • Coppa Italia Finalists
  • Serie A Runner ups (kwa point1)
Licha ya kupokea kipigo cha 5-0 kwenye fainali ya UEFA, Inter wanabakia kuwa timu bora msimu huu bahati haikuwa upande wao!

2. FC Barcelona
  • La liga (kwa magoli 100+)
  • Spanish cup
  • UCL Semi-finalist
Barca kaupiga mwingi japo kakosa UEFA huu msimu wamefanya vizuri tumeshuhudia soka safi kutoka kwa Yamal na Raphinha wakiiwezesha kutwaa Laliga kwa magoli100+

1. Paris Saint German
  • UCL Winners
  • Coupe de France
  • Ligue 1
Hakuna ubishi katika hili, msimu wa 2024/25 umekuwa bora sana kwa vigogo wa Paris. Wametwaa makombe yote kibabe, ligi zikiwa zimesalia mechi6, UEFA kwa kipigo cha mbwa mwizi 5-0. Hii ndio
 
Back
Top Bottom