Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,297
- 33,082
Timu ipi kiboko kuliko timu zingine?
Kigezo cha mtihani sio mtihani kaka ndo mana kwako umezipanga vizuri mkuu na alie uliza swali amejibu kwa kuzipanga wazee wa namba 8 nawapenda huwa mnasema ukweli hampepesi mamboKigezo cha ubora ni mtihani kidogo, tuwe na criteria za ubora itatusaidia lakini kama tunazungumzia kusukuma ngozi nadhani mpangilio unajieleza wenyewe, ila namba 8 kwa sasa ni dhofli hali nafuu ya upanga kukatia ubapa, iende namba 12 japo ni chama langu kabisa