M Midavudavu JF-Expert Member Jan 23, 2012 287 59 May 8, 2012 #1 Aya we utafiti umebaini kuwa ni yanga ya tz ambayo imepigwa gori 5 kwa mkupuo. Nenda ktk google mwana.
Aya we utafiti umebaini kuwa ni yanga ya tz ambayo imepigwa gori 5 kwa mkupuo. Nenda ktk google mwana.
S sumalee New Member May 8, 2012 1 0 May 9, 2012 #3 Haya ni mambo ya kawaida sio ishu na kwa mpenzi wa dhati wa Yanga that's a good challenge.
LINCOLINMTZA JF-Expert Member Mar 15, 2011 1,639 516 May 9, 2012 #4 Jokes au taarifa? Watu tunakuja kucheka huku.