RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 196
Hivi wakuu hii imekaaje hawa waingereza ndo wanacontrol tome ya dunia? Manake kuanzia leo wanatuambia kuwa time imechange na lisaa limoja limesogea mbele yaani saa sita inakuwa ni saa saba, imekaaje hii na ni kwanini kila mwaka huwa nafikiria manake huwa wanaanza summer yao na changes hizi