Ukidhani tu teknolojia fulani imefikia ukomo anakuja mwingine anaboresha kidogo tu na anakua mkubwa.
Lakini kuna tatizo moja naliona kwetu sisi watanzania tuna tabia ya kusema kwamba APP fulani sio ya kutumia watu wa jinsi fulani au APP fulani sio ya kutumia watu wa umri fulani.
Unahisi kuna kitu kama hiko kwanza? (Kwamba app fulani asitumie fulani kwa sababu ni wa jinsia fulani)
Je kuna athari nyingine tunapata kwa kuwa “slow” “ku-adopt” na “ku-assimilate” mambo mapya kwa imani/mitazamo ya mtindo huu?
Lakini kuna tatizo moja naliona kwetu sisi watanzania tuna tabia ya kusema kwamba APP fulani sio ya kutumia watu wa jinsi fulani au APP fulani sio ya kutumia watu wa umri fulani.
Unahisi kuna kitu kama hiko kwanza? (Kwamba app fulani asitumie fulani kwa sababu ni wa jinsia fulani)
Je kuna athari nyingine tunapata kwa kuwa “slow” “ku-adopt” na “ku-assimilate” mambo mapya kwa imani/mitazamo ya mtindo huu?