JUKUMU
Member
- Apr 5, 2009
- 76
- 31
Jamani sijui kama ni mimi peke yangu naibiwa, ukiweka salio hakuna kitu kinachoingia, tigo pesa nako wamenikata bila sababu. ukipiga simu ndio balaa, mara namba yatumika, mara haipatikani, mara yajikata. Hamisha salio nako ni kulipia, madai mtandao nafuu...me nawaona kama vibaka wa mitaani.naomba wizara husika iangalie huu mtandao wa tigo na mingine, maana naona sasa watu wa mawsiliano wanazidi kuwafilisi watu kila kukicha.