Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,096
Habari ya kusikitisha..
MTU mmoja amefariki dunia asubuhi hii baada ya kugongwa na Lori kichwani maeneo ya Kariakoo jijini Dar es salaam.
Chanzo cha ajali hiyo ni Polisi wa doria barabarani (maarufu kwa jina la 'tigo') walipokuwa wakijaribu kuwafukuza Madereva wa Pikipiki (Bodaboda) ambao nao walimsukuma kijana mmoja mtembea kwa baiskeli hadi barabani na kugongwa na Lori hilo.
Picha za tukio ninazo nyingi, ila zinatisha sana (Hazifai kuwekwa humu).
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema!
MTU mmoja amefariki dunia asubuhi hii baada ya kugongwa na Lori kichwani maeneo ya Kariakoo jijini Dar es salaam.
Chanzo cha ajali hiyo ni Polisi wa doria barabarani (maarufu kwa jina la 'tigo') walipokuwa wakijaribu kuwafukuza Madereva wa Pikipiki (Bodaboda) ambao nao walimsukuma kijana mmoja mtembea kwa baiskeli hadi barabani na kugongwa na Lori hilo.
Picha za tukio ninazo nyingi, ila zinatisha sana (Hazifai kuwekwa humu).
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema!