kishaija
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,049
- 1,197
Kama ni kweli basi kwa umuhim wa line,ni bei rahisi
kwa sie tuliopoteza sim na majina yake tunajua umuhim wake.
we mtu unampigia sim unamwambia akurejeshee line tu na laki moja unamlipa ili upate majina bado mtu anasepa.
Wazo zuri sana hili
Wengine tunasave majina kweny gmail hata line ikipotea hatusumbuki kuyapata