Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 24
wana jf siku zote nilikuwa nasikia kuwa tigo ni wezi sikuamini ila leo nimejionea,niliweka vocha ya shs 3000,mara ghafla nikaugwa na sms 100 dk mbili baadaye mb 25 kwa 450 kidogo tena sms 15,nusu saa baadaye sms 100 ghafla sms 100.hv sasa nina sms 315 na mb 25,jamani huu sio wizi,naomba mnisaidie maana hata kuwapata customer care tabu tupu na hela wanakata.