donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
salam wakuu, mimi ni mtumiaji mzuri tu wa vifurushi vya lightday kwenye simu yangu ambapo unapewa like 2days accessing. sasa wiki mbili zilizopita niliacha kununua iyo bundle lakini nashangaa nimekuwa na access bure for two weeks,downloads (mp3's n videos) but still hawakati kitu. mpaka nimeamua kununua line nyingine ili ni backup mpunga wangu incase wakitaka kuumemena wakute simu ina zero balalnce. so far wakuu kuna mtu amesha experience hii kitu? Ijumaa Al-Karim