Tigo night bundle yashuka tena!

Kang

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2008
Posts
5,694
Reaction score
2,588
Bundle ya Tigo night ambayo ilikuwa 20 GB ikichakachuliwa hadi ikawa 5 GB sasa imezidi kudhoofika na imeshuka tena hadi 4GB! 🙁
 
Bundle ya Tigo night ambayo ilikuwa 20 GB ikichakachuliwa hadi ikawa 5 GB sasa imezidi kudhoofika na imeshuka tena hadi 4GB! 🙁


20GB?? nakumbuka enzi za unlimited, kisha wakaja 30GB.. mteren=mko ulianza hapo..
mkuu Kang nina miaka sijainigia huku jamviini, nimeumizwa na hili jambo hadi inabidi nije nitafutane na wale wa ma bus nijue kama bado wapo maaana hadi hapa naumia tele

P.S Chief-Mkwawa bado yupo??
 

nipo kaka, nitakucheki usijali
 
Reactions: leh
Bus nyingi zimepinduka kitambo.
Juzi juzi tulikuwa tukipanda jipya la mwendo kasi bila nauli ila nalo lishazibiwa njia so halipandiki kirahisi.
Kama sikosei lile la speed ndogo bado litakuwa lipo barabarani so mcheck Njunwa Wamavoko kama bado anakatisha tiketi.
 
Reactions: leh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…