Hanna mkuu,unatoa tu pesa kutoka tigo pesa na inakua mtinda was vocha wanaita muda was maongezi yani no bure kabisa huna haja ya kununua vocha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao tigo waliniunga kifurushi dabo halafu kilichokuja ni kimoja tu afu wana majibu mbofu mbufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa mgeni bongo nini? Usikute ni diaspora kashazoea at&t na verizon!Ukiacha salio bila kujiunga kifurushi umekwisha
Huyu jamaa mgeni bongo nini? Usikute ni diaspora kashazoea at&t na verizon!
Hii ndio bongo, mitandao yetu haipigiwi nyimbo, ishakata mauno! Na ana bahati sana, angeambiwa alijiunga na huduma ya hadithi asingeamini macho yake. Wameamua kumvungia tu.
Ukiacha balance ina hang italiwa tu maana hamna namna ingine!
Hao jamaa ni jau kinoma, wana mambo za ajabu sana. Mi najiungaga halichachi tu kwao kisha nakauka!Huo utaratibu naufahamu mkuu, kilichonishangaza ni vile wamelamba buku yote ndani ya dakika kama 15 hivi.
Na ukiwauliza wanakwambia hata wao hawajui ilikoenda, wanabaki wanakwambia wamelituma tatizo lako kwenye kitengo husika. Kaangalia akasema siko kwenye huduma yoyote ya kukatwa.