Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Tigo nimeshidwa niwaweke kundi gani, walichonifanya nimewaelewa.
Jana usiku nimenunua vocha shs 2,000/-, nikajiunga kifurushi cha kupiga mitandao yote cha shs 1,000/-, nikaongea na simu moja kama dakika 7 hivi nikawa nimemaliza.
Nilivyomaliza nikasema hii 1,000/- iliyobaki niunge kifurushi kingine isije ikaliwa, mara nikaambiwa salio langu halitoshi, nikiangalia salio sioni bundle lingine nililojiunga, make bundle la internet lipo na lile nililojiunga lipo.
Nikawapigia, wakatafuta kama kuna huduma nimejiunga hawakuona kitu, wakaniambia nipige baada ya masaa 3 wanakuwa wamepata taarifa ya mahali imekwenda.
Asubuhi nimepiga nikajibiwa vile vile kwamba hawaoni kitu.
Kumekuwa na malalamiko kwenye hii mitandao ya simu kwamba ukiacha hela wanaifyeka, lakini not to this extent aisee.
Sijui kama TCRA haya malalamiko hayajawafikia, ila kuna kitu inabidi kifanyike, ni too much.
Jana usiku nimenunua vocha shs 2,000/-, nikajiunga kifurushi cha kupiga mitandao yote cha shs 1,000/-, nikaongea na simu moja kama dakika 7 hivi nikawa nimemaliza.
Nilivyomaliza nikasema hii 1,000/- iliyobaki niunge kifurushi kingine isije ikaliwa, mara nikaambiwa salio langu halitoshi, nikiangalia salio sioni bundle lingine nililojiunga, make bundle la internet lipo na lile nililojiunga lipo.
Nikawapigia, wakatafuta kama kuna huduma nimejiunga hawakuona kitu, wakaniambia nipige baada ya masaa 3 wanakuwa wamepata taarifa ya mahali imekwenda.
Asubuhi nimepiga nikajibiwa vile vile kwamba hawaoni kitu.
Kumekuwa na malalamiko kwenye hii mitandao ya simu kwamba ukiacha hela wanaifyeka, lakini not to this extent aisee.
Sijui kama TCRA haya malalamiko hayajawafikia, ila kuna kitu inabidi kifanyike, ni too much.