kabatimpya
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 231
- 216
Ukiwa ea-tl hutajuta.
Ujinga wa saizi yako, inatofautiana kwa mteja na mteja.Size yako acha ibaki tu. Napewa GB 4 kwa 2000 tena wiki nzima, 4000 dk 120 mitandao yote+1GB+unlimited sms vyote hivyo hadi siku zitakapoisha! Dk 60 mitandao yt kwa 500 wiki nzima, nk nying tu acha zile social pack. Size yako kwangu ibaki tu
Hayajakukuta ndio maanaSize yako acha ibaki tu. Napewa GB 4 kwa 2000 tena wiki nzima, 4000 dk 120 mitandao yote+1GB+unlimited sms vyote hivyo hadi siku zitakapoisha! Dk 60 mitandao yt kwa 500 wiki nzima, nk nying tu acha zile social pack. Size yako kwangu ibaki tu
Rudi nyumban kumenoga ttcl...ndo kuna unafuuAisee kwasasa makampuni ya simu ni vululu vululu kwa gharama sijui nini kimetokea
UNI MPYAKifirushi gani kizuri unajiungaga huko eateli.
Hongera yako mkuu ila mie nimewachokaSize yako acha ibaki tu. Napewa GB 4 kwa 2000 tena wiki nzima, 4000 dk 120 mitandao yote+1GB+unlimited sms vyote hivyo hadi siku zitakapoisha! Dk 60 mitandao yt kwa 500 wiki nzima, nk nying tu acha zile social pack. Size yako kwangu ibaki tu
Hakipo tena hicho kifurushi ni saizi yako kwenda mbele sasa hiviUNI MPYA
Tatizo hawana 4GUkiwa ea-tl hutajuta.