No More Drama
Member
- Jun 2, 2013
- 95
- 19
Unajiungaje??
kifurushi kipi icho
Chochote cha internet
Internet yake majanga
Kama mbunge wa ccm vile, unasifia halafu unalalamika, unafikili hawakuwa na akili kutana speed, lengo utumie 5mb
Kama mbunge wa ccm vile, unasifia halafu unalalamika, unafikili hawakuwa na akili kutana speed, lengo utumie 5mb
Hapa pia kuna university offer kwa watu walio maeneo ya karibu na vyuo..Wana JF
Kwa hali ilivyo sasa hivi kwa mtazamo wangu tigo ndo kimbilio la wanyonge
Sikujua mwanzo ila baada ya kusikia kuhusu ofa ya Mb 100 za bure
Nikachukua chip yangu na kuiweka kwenye simu nikaanza kufanya survey kwenye vifurushi vyao nilichokikuta
1.ofa ya Gb 30 kwa sh 1000 (usiku kucha)
2.MIA MIA OFA
3.kifurushi cha mwaka mzima kwa sh1000 tu(dk20)
4,Usiku pack hapa ndipo niliposhangaa duh tigo ni shida jaman
****CHANGAMOTO****
Spidi ya internet yao aipo vzur tunaomba waiboreshe jaman tunawategemea
NAWASILISHA
Hii post yako ungeiweka kule jukwaa la matangazo...Tunatoa huduma ya kufunga Vehicle GPS Tracker kwa bei poa sana ambapo kupitia simu yako ya mkononi au Laptop yako unaweza kupata taarifa za gari yako popote ulipo duniani kama:
- Eneo gari lako lilipo kwa muda husika
- Inarekodi route za gari kuanzia siku uliyofunga
- Inakupa taarifa ya gari imetembea kilomita ngapi pindi unapohitaji
- Inakupa taarifa ya mwendokasi wa gari husika
Bei zetu ni Tsh.350,000 utalipia mara moja tu hatuna malipo ya mwezi huduma zetu ni za
uhakika.NI PM kwa maelezo zaidi