Joseph Ludovick
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 256
- 276
Hili kampuni limezidi kwa wizi wa MB......unaweka GB 2, kwa ajili ya siku 7, zinachukuliqa ndani ya saa 24, na hakuna matumizi yoyote makubwa ya mtandao zaidi ya kutumia watsap na normal surfing.
Ukiwapigia huduma kwa wateja wanasema umetumia na hawakubali kudiclose hayo matumizi wanakutaka uache kazi zako usafiri kwenda duka ama ofisi yao.
.....huu wizi mpaka lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwapigia huduma kwa wateja wanasema umetumia na hawakubali kudiclose hayo matumizi wanakutaka uache kazi zako usafiri kwenda duka ama ofisi yao.
.....huu wizi mpaka lini?
Sent using Jamii Forums mobile app