Mhafidhina07 JF-Expert Member Joined Aug 1, 2014 Posts 3,652 Reaction score 5,134 Mar 7, 2023 #1 Hizi tabia za kufanya simu zetu kama mabango ya matangazo yanazidi kunikera kwa siku unaweza kupokea hata text 10 za ofa zao wakati wanajua kuwa wanatukera. Nitakuja kuwashitaki.
Hizi tabia za kufanya simu zetu kama mabango ya matangazo yanazidi kunikera kwa siku unaweza kupokea hata text 10 za ofa zao wakati wanajua kuwa wanatukera. Nitakuja kuwashitaki.
Uwa zuri Senior Member Joined Feb 24, 2023 Posts 106 Reaction score 178 Mar 7, 2023 #2 Kawashitaki tu.