Mitandao ya simu ni matapeli wakubwa. Mimi nina router nilikua na salio baadae sikulikuta.. nilipotoa line nikaangalia nikakuta sms nimejiunga na kitu kinaitwa airtel games. Nikawapigia simu wakaniambia nimejiunga mwenyewe nikalumbana nao wakaiondoa na nikaona msg nimejiondoa.. nikakaa baada ya kama week nikacheki salio nikakuta limekatwa tena. Niliporudisha line kusoma sms nikakuta siku ile ile niliyoondolewa baada ya masaa kadhaa nilitumiwa ujumbe karibu umejiunga upya kwenye airtel games.