Tigo mnamdatisha binti yangu!!

hahaaaaa mimi ninawangu yeye akiliona lile LA pindua pindua la voda na lile la joti jazwa ujazwe huwa anapagawa kabisa yaaani

anaanza kucheza ..daahh tech...hizi zatualibia vizazi vyetu
hata mimi nina mdogo wangu anatambaa akilisikia tu anakuja kwa kutambaa kuja kulishangaa..Aisee
 
Hivi ni kwanini aisee?
Mi wakwangu hata akiwa nje,anarudi ndani fasta.

Sijui maskio huwa wanayatega kwenye TV hatawakifanya mambo mengine au vipi!


Yaani we hujaskia,ye tayari kashastuka
 
acha kumdekeza mwanao sio kila kitu anachohitaji apewe tu mtashindwa hata kuangalia taarifa ya habari kisa mnataka mumwekee mtoto tangazo la tigo
 
Jipakulie

 
Aiseeh,tangazo la Mr.Money, llikuwa linamchangamsha mtto wangu
 
MALEZI MABOVU, MTOTO UMLEAVYO NDVYO AKUAVYO, ITAFKA HATUA ATAFANYA ANACHOTAKA YEYE. Jihadhari, huo siyo upendo ni kumharibu mtoto.
 
acha kumdekeza mwanao sio kila kitu anachohitaji apewe tu mtashindwa hata kuangalia taarifa ya habari kisa mnataka mumwekee mtoto tangazo la tigo
Hapana Mkuu, its kind of carely that most of us we didn't get when we were young, i think these youngsters deserves our attention as parents.
 
Ha ha ha
Kumbe wayoyo wote wanapagawa!
Na mimi lijitu lixima najikuta ksma yule mzee kwe tangazo " nina mpanho hoo, nina mpango"
 
hata mimi nina mdogo wangu anatambaa akilisikia tu anakuja kwa kutambaa kuja kulishangaa..Aisee
hahaaa yaani weee acha tu ..basi ule mdundo wasingeli ..pindua + huwa unamuacha hoi ..yaani daahh nimegundua kuwa watoto wana akili nyingi mnooo ila kama ukishindwa kumuandaa kwenye mazingira chanya ndio hvyo tena hupotea
 
hahaaaaa mimi ninawangu yeye akiliona lile LA pindua pindua la voda na lile la joti jazwa ujazwe huwa anapagawa kabisa yaaani

anaanza kucheza ..daahh tech...hizi zatualibia vizazi vyetu

Mkuu wangu kama wako.Ana miezi 8 ila Pindua pindua linamchanganya sana.
 
Mtoto wa shost yeye kuna news reader mmoja akimuona anamuita daddy na shost ni single mother.
hahaaaa watoto wanaumbua aiseee
Nina Jamaa yangu alimuacha mkew kwakisa kama hicho ..alisafiri kikazi kwenda mwanza ..huku nyuma mkewe akawa anachepuka na Jamaa mmoja hivi alikuwa nimmliki wa bar...sasa pale bar huwa panauzwa chips ..siku yasiku mume karudi kamchukua mwanae wakaenda kununua chips kwenye ile bar ...daahh mtoto sindio akamuona yule mmiliki wa bar..akaanza kumkimbilia huku anamuita ..baba ..baba...
dadeq baada ya hapo nikufautacho ITV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…