Tigo mnakoelekea mtatuuzia 1 GB kwa Tsh 10,000/=

Leo kuna mabadiliko wandugu kwenye upande wa kampuni ya simu ya tigo kiasi nimeanza kuifikiria elfu kwa wiki alafu gb 2 napata then hazifiki ata siku tatu wamefyeka.

Kwasasa kifurushi cha bei ya chini cha internet huko Tigo ni Tsh 3,000 alafu unapata GB 1 kwa wiki wakati awali ilikuwa gb 2. Hapana, ngoja kesho nisake lain ya Halotel tu.
Hahahahaha kweli ndugu hata mwenyewe hapa sielewi shida nini kwa tigo yani wanakupa GB moja kwa wiki halafu siku tatu haziishi sijui na wenyewe wameanza wizi wa mtandaoni maana hatuelewi
 
Leo kuna mabadiliko wandugu kwenye upande wa kampuni ya simu ya tigo kiasi nimeanza kuifikiria elfu kwa wiki alafu gb 2 napata then hazifiki ata siku tatu wamefyeka.

Kwasasa kifurushi cha bei ya chini cha internet huko Tigo ni Tsh 3,000 alafu unapata GB 1 kwa wiki wakati awali ilikuwa gb 2. Hapana, ngoja kesho nisake lain ya Halotel tu.

Halina maana li-tigo nyoko. Nakupongeza chief kuachananalo.

Kwa sasa 3000=512MB

Mtandao wa kipumbavu, ngoja nihame.
 
Tangu nianze kua na laini ya Halotel mwaka jana sijawahi kujiunga tena kifurushi chochote cha Tigo. Buku Halotel kuna kifurushi kinaitwa Mega bundle, ni 1 gb na dakika 10 kwa wiki. Wana royal bundle za 10k, 20k n.k, hizi ndio mwisho wa matatizo. Kwa 10k unapata GB 7, dakika 550 na sms kama zote kwa mwezi
Hivi halotel Wana special no....
 
Halotel wanakupa ofa kwa wiki baada ya hapo 2000 wanakupa mb100 kwa mwezi
 
Tumieni zantel, GB moja siku tatu elfu moja, au GB kumi mwezi elfu kumi, mnaendelea kubanana huko tigo na voda, endeleeni tu wawakamue vizuri.
 
Leo kuna mabadiliko wandugu kwenye upande wa kampuni ya simu ya tigo kiasi nimeanza kuifikiria elfu kwa wiki alafu gb 2 napata then hazifiki ata siku tatu wamefyeka.

Kwasasa kifurushi cha bei ya chini cha internet huko Tigo ni Tsh 3,000 alafu unapata GB 1 kwa wiki wakati awali ilikuwa gb 2. Hapana, ngoja kesho nisake lain ya Halotel tu.

Halotel nao sio, bora airtel
 
Leo kuna mabadiliko wandugu kwenye upande wa kampuni ya simu ya tigo kiasi nimeanza kuifikiria elfu kwa wiki alafu gb 2 napata then hazifiki ata siku tatu wamefyeka.

Kwasasa kifurushi cha bei ya chini cha internet huko Tigo ni Tsh 3,000 alafu unapata GB 1 kwa wiki wakati awali ilikuwa gb 2. Hapana, ngoja kesho nisake lain ya Halotel tu.
Halotel ni yaleyale tu hakuna jipya kabisa. La msingi tuache kutumia hii mitandao hata mwezi tusome Vitabu vya neno la Mungu tuone wataendeshaje hayo makampuni ya simu?

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom