Tigo leo mmeniharibia sana

Ijumaa usiku SAA sita nimenunua vocha ya buku kwenye duka la mangi mchelewaji kufunga ili nipate MB za kubrowse nikashangaa naweka naambiwa nadaiwa bado sh 500,nikijiuliza nilikopa SAA ngapi ilihali hata sijui huo mkopo wanabonyeza code zipi,yani wamekuwa wasanii sanii,na Leo ndio komesha nimerushiwa hela mpaka dk hii sijaitoa mtandao umekuja rudi saa saba kasoro usiku,bila kuomba msamaha wowote.
 

Ahahahaha unaendana na id yako, pole mkuu.
 
Sikufanya makosa kuwahama hawa jamaa.
 

Sie wengine Unguja hatuna hamu nao hao!
 

Kwa uzembe wa aina hii ndin ttunakuja kuambiwa kwamba ''samahani wateja weju hali hii ilisababishwa na MATATIZO YAKIYO NJE YA UWEZO WETU'
 
Mnaizungumzia Tigo ipi?
 
Shabash!..nilikuwa nadaiwa,jamaa nimemuendesha nimemtumia toka jana,mtandao unasumbua!
Kitachofata ni sound tu za kujifanya nafuatilia tigo wanirejeshee pesa yangu walioikata!!
Tigo wamenipa wiki nzima ya kulipa deni!.
Kama vp na leo wapotee tena!
 
Offer kutoka tigo, je inaendana na usumbufu waliopata wateja wao?
 

Attachments

  • 1447051712197.jpg
    24.5 KB · Views: 141
He he hivi ni kweli usumbufu wa siku nzima mnaongwa dk 10..??tigo wanatutania
 
Hawa jamaa wametuharibia sana weekend hii. mi nilishatengeneza mazingira hom ili nikapige nje cup. mwisho wa siku nimejikuta nalala ugenini bila faida yoyote
Ha ha ha,
Dah kama mimi aisee. Unajua hizi nje cup kama ni wake za watu haitakiwi muwe mnaingia Guest hiyohiyo kila siku. Kila mkikutana mnapanga Guest mpya ili kua salama zaidi, na jina la guest unampa siku hiyohiyo asubuhi. Hapa ndipo tigo walipotuwezea aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…