Tigo leo mmeniharibia sana

Tigo leo mmeniharibia sana

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
13,210
Reaction score
20,954
Toka asubuhi huku nilipo simu haziingii wala haziendi,sms pia, tgo pesa ndio kabisaa!.. Mbaya zaidi siku ya leo nilikuwa na mihadi na mtu kila nikimpigia Sim inakata, nimebadilisha line ni hivyo hivyo mpaka muda huu ninavyoandika hapa......

Cha ajabu hakuna notification yeyote mliyotupatia wateja wenu ili kuonyesha mnajari na mmegundua uwepo wa tatizo na mnaendelea kurekebisha,
Yaaani nyie mnaona ni kawaida tu hali kama hii,
Ila fresh tu najua nitakachowafanya mda si mrefu. .
 
Ni kweli kabisa Marco Polo, hapa imebidi nitumie mtandao mwingine. Sio sms sio simu hazitoki wala haziingii, naona tigo wameamua kurudia zile enzi zao zilizonifanya niwakimbie
 
Nilipo ukitamka tigo wanakushangaa hawajui ni kitu gani.
 
Toka asubuhi huku nilipo simu haziingii wala haziendi,sms pia, tgo pesa ndio kabisaa!.. Mbaya zaidi siku ya leo nilikuwa na mihadi na mtu kila nikimpigia Sim inakata, nimebadilisha line ni hivyo hivyo mpaka muda huu ninavyoandika hapa......

Cha ajabu hakuna notification yeyote mliyotupatia wateja wenu ili kuonyesha mnajari na mmegundua uwepo wa tatizo na mnaendelea kurekebisha,
Yaaani nyie mnaona ni kawaida tu hali kama hii,
Ila fresh tu najua nitakachowafanya mda si mrefu. .

Hawa nshapiga chini!!! Niko na airtel no presha!!
 
Tigo ndio mtandao wa ovyo zaidi kwa sasa hapa Tanzania! Tigo wananitesa mno hadi nimeanza kua ba presha . Ni tatizo na wala wenyewe hawajali.
 
Ulikuwa Leo kitumbua kikapate raha sasa mzee hapatikani, uwiii
 
Vifurushi vya chuo vinaleta shida kila mtu anatumia naona wanaelemewa
 
poleni wanatigo kwa maswaibu yaliyowakuta siku ya leo.
 
hahaha.. msg ztaingiaje akat mtandao haupig wala hipigiwi, hutumi msg wala hutumiwi..... mbona balaaaa jaman...
 
Back
Top Bottom