Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Ahsanteni wakuu naona wamerudisha Kwenye akaunti yangu ya tigopesa.
Lakini ni usumbufu usio na lazima. Fedha imetumwa Source A kwenda Destination B. Kama Kwenye A imetoka na Kwenye B haikufika basi kuna sehemu imekwenda. Yaani kuna akaunti imekwenda (call it anything account). Kinachotakiwa ni kufanya verification if it was a regitimate transanction. Baada ya hapo unaamua kuitoa huko na kuirudisha Kwenye Source A au Kwenye destination B. Tatizo hapo ni uzembe wa Kitanzania. Inachukua masaa mangapi? 3 days?
Watanzania tubadilike. Transaction hiyo walinikata 7,000. LAKINI WAMERUDISHA 2,500,000 TU.
Je hiyo 7,000 si wameniibia?
Mkuu hiyo 7,000 wamepiga mchana kweupeee