Tigo kuweni makini na Tigopesa yenu

Tigo kuweni makini na Tigopesa yenu

Ahsanteni wakuu naona wamerudisha Kwenye akaunti yangu ya tigopesa.

Lakini ni usumbufu usio na lazima. Fedha imetumwa Source A kwenda Destination B. Kama Kwenye A imetoka na Kwenye B haikufika basi kuna sehemu imekwenda. Yaani kuna akaunti imekwenda (call it anything account). Kinachotakiwa ni kufanya verification if it was a regitimate transanction. Baada ya hapo unaamua kuitoa huko na kuirudisha Kwenye Source A au Kwenye destination B. Tatizo hapo ni uzembe wa Kitanzania. Inachukua masaa mangapi? 3 days?

Watanzania tubadilike. Transaction hiyo walinikata 7,000. LAKINI WAMERUDISHA 2,500,000 TU.

Je hiyo 7,000 si wameniibia?

Mkuu hiyo 7,000 wamepiga mchana kweupeee
 
aisee, nami yamenikuta leo. nimetuma hela 1M kwenda CRDB tangu tarehe 8-Dec-2015 mpaka leo chalii.
nimeongea na huduma kwa wateja naambiwa hela imekwama haikwenda. sasa imekwama wapi nami haijarudi katika salio langu?? imeambiwa nisubiri masaa 24, lkn hayo masaa 24 nadhani itakuwa siku 3 au 4 zaidi.

nina urgent payment ya kufanya, now am stack. so disappointed!!

Mkuu hawa tigo pesa wabovu sana kwenye hii huduma mwenyewe nilifanya payment kupitia tigo pesa kumbe pesa haikwenda nimekuja kupigwa faini baada ya kufatilia nikaambiwa hela haikwenda ili rudi
 
Back
Top Bottom