Kuna marekebisho wanafanya kwenye systems zao,walitangaza juzi,ilikuwa ni kwa usiku wa jana mpaka asubuhi ya jana huduma walisema zingerudia kawaida,sasa nadhani mpaka muda huu mambo hayajakaa sawa,si unajua mambo ya system upgrades yanavyozingua wakati mwingine,ila nadhani mambo yatakuwa sawa karibuni,ingawa usumbufu kwa wateja ni mkubwa sana...