Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Kitendo cha mtandao wa tigo kuwa na matatizo makubwa siku hizi (hasa Morogor), kuwa ukipiga simu haziendi, ukituma msg haziendi kwa wakati, ukiingiza vocha hazikubali, na matatizo mengine kibao ni vya muda mrefu. Cha kusikitisha siku zote hizo sijamuona Mfuru akijitokeza na kuomba radhi, na kusema tatizo litaisha lini. Huku ni kuwadharau wateja wake...