tiGO, hadi raha dah!

Banchikicha,banchikicha-chikicha-chikicha
Tulikwenda tulikwenda kwenda-kwenda,
Kwa..........Malizia mwenyewe njunwa wamavoko then uweke nawe video yako maana hatujaiona bado

 
Last edited by a moderator:
Voda na zantel kwangu mi naona ngoma dro zote zinakimbiza balaa tigo sio kila siku voda unlimited 40000 zantel 300000 voda wanabana speed baada ya 3gb zantel full speed hamna cha gb
 
Voda na zantel kwangu mi naona ngoma dro zote zinakimbiza balaa tigo sio kila siku voda unlimited 40000 zantel 300000 voda wanabana speed baada ya 3gb zantel full speed hamna cha gb
mkuu ni laki 3 au
 
Dah wakuu wote na speed zenu respect sanahh me hizo speed nadhan ntaishia kuona kwa screenshot zenu tu hapa kwangu majangaa ata sitaki ongelea,, ila hapo kuna uchakachuzi au ni bundle za kawaida tu,?
 
Dah wakuu wote na speed zenu respect sanahh me hizo speed nadhan ntaishia kuona kwa screenshot zenu tu hapa kwangu majangaa ata sitaki ongelea,, ila hapo kuna uchakachuzi au ni bundle za kawaida tu,?

speed zote ulizoziona hapo nisijue ya mleta mada ni uchakachuzi...

e.g Kwa hali ya kawaida mtu hauwezi download file la 13GB kama unayo internet ya kuunga unga na ya kupima kwa kibaba
Angalia hiyo video juu mtu akidownload 13GB
 
speed zote ulizoziona hapo nisijue ya mleta mada ni uchakachuzi...

e.g Kwa hali ya kawaida mtu hauwezi download file la 13GB kama unayo internet ya kuunga unga na ya kupima kwa kibaba
Angalia hiyo video juu mtu akidownload 13GB

sasa hawa jamaa wanatusaidiaje ili ata na sie tulete screenshots apa ata kama ni kwa malipo kidogo.?
 
sasa hiyo 7.7Mbps huwa unaiona wapi kwenye simu?
au ulimaanisha ukiwa unadoownload kitu transfer rate ni 7.7MBps speed ambayo hata Smile hawifikishi

Ni 7.7Mbps not 7.7MBps mkuuu, huwa naiona kwenye pc kwenye Ubuntu kuna software inaitwa TPTest
 
voda ndo mwisho
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…