Wakuu huu msemo wa cheap is expensive ndio umedhihirika na hii kampuni ya tigo. juzi j'2 nilinunua GB 15 kwa shilingi elfu kumi nikijua nitamaliza nalo wiki bila ya stess.
Cha ajabu mpaka leo hii ni GB moja tu ndio nimetumia. Mtandao ni mbovu sana network hamna almost masaa 22 kwa siku.
Network inakuja na kuondoka. Dah inshort hela yangu imeliwa bure sidhani hata kama nitamaliza GB3 mpaka Jumapili. Nimekoma sinunui tena kifurushi cha hela nyingi mtandao wowote ule.
Cha ajabu mpaka leo hii ni GB moja tu ndio nimetumia. Mtandao ni mbovu sana network hamna almost masaa 22 kwa siku.
Network inakuja na kuondoka. Dah inshort hela yangu imeliwa bure sidhani hata kama nitamaliza GB3 mpaka Jumapili. Nimekoma sinunui tena kifurushi cha hela nyingi mtandao wowote ule.
