Tido Mhando ni kada wa CCM?

Siri ya ushindi wa ccm anaijua lubuva
 
Ungeanza kwanza kwa kuhoji Je mvi nyingi ni kada wa CCM?? Ningekuelwa zaidi..
maana na yeye pia huwa hafichi hisia zake kwa kumkubali Mh. Rais JPM na jitihada zake za kulikomboa na kulinyanyua Taifa...

Tatizo lenu ninyi ni wajuvi sana wa kuhoji, kukosoa na kukandia kila kitu..
Ila mnapohojiwa na kukosolewa immediately anayewahoji anageuka hasimu wenu na kuitwa kada wa CCM..

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kaazi kweli kweli..
Wacha Nyumbu muitwe Nyumbu.... maana akili zenu zote mmezi uninstall then mka install za mwenyekiti
 
Ingekuwa safi mno kama Jecha na Lubuva nao wakafanyiwa mahojiano..!
 
Yah hta mimi nimeona. Lowasa si wakumuamini anaweza kurud CCM muda wowote.
Mbutaaaaa jamaa hawakuachi..
Watakushambulia saaa saa hivi..

Na jiandae kuulizwa kama na ww ni kada..??
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Ulitaka aulizwe maswali yepi labda ili ujue yuko neutral
Hawajielewi wala hawajiwezi let alone kujua ni aina gani ya maswali wangetaka waulizwe....

Wasamehe buureee..
Wako chaali saa hizi wanahangaika na semantics..
 
Dah..nilikuwa naamini kuwa Tido ni mwandishi bora kabisa,kumbe naye subjective
 
Kamhoji wewe basi tuone ulivyo neutral.

Demokrasia maanake uyaandae masikio yako kusikia usichopenda kukisikia.
 
Huko kucheka inaonyesha una ufahamu ukweli
But y should i discussing this matter with u? Nadhan naanza kupoteza uwezo wangu wa kufikir, i gave u 20%, hizo 80% tafta mwenyewe ujue y nimecheka.
 
But y should i discussing this matter with u? Nadhan naanza kupoteza uwezo wangu wa kufikir, i gave u 20%, hizo 80% tafta mwenyewe ujue y nimecheka.
Hili ni jukwaa huru mkuu hivyo upo huru kuendelea ku discuss na mi otherwise unapinda tu
 
Nilichokiona ni Tido Mhando kutouliza maswali magumu yanayotokana na majibu ya Lowassa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…