Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,427
- 21,118
Katika jamii yoyote ile ya watu, kuna baadhi ya watu ambao ni mabingwa wa kung'ata na kupuliza , akiwa na wewe atakusifia na kukupa kila aina ya sifa na kujifanya ni mwema sana kwako na kuwaponda vibaya mno wale ambao wapo kinyume na wewe ila ukimpa kisogo tu kibao kinageuka kwako wewe sasa ndo atakuongelea vibaya na wale aliokuwa anawaponda ataenda kuwapelekea umbea na kukuponda wewe.
Sasa huyu jamaa anayejiita Top In Dar au ukipenda muite mzee kigogo ,Warioba, mzee wa kuganda hewani , mzee wa inakuja inakata ni dizaini ya hao watu.
T.I.D anajua sana kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa ila sasa ukimpa kisogo tu utapondwa ile mbaya.
Mfano mzuri ni kuhusu ushindani uliopo kati ya Wasafi/Diamond Platnumz na Clouds Media jamaa akiwa kwa Diamond anamsifia kinoma na kumpa kila aina ya sifa , akienda Clouds inakuwa kinyume chake anasifia sana Clouds na kumponda mbaya Diamond Platnumz.
T.I.D aligombana mpaka na swahiba wake wa kitambo QChillah kutokana na tabia hii hii ya majungu na ufitini sasa sijajua kukaa kinondoni kumemfanya kuwa na tabia hizi, maana kinondoni kunaongoza kuwa na watu wanafiki wanafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyu jamaa anayejiita Top In Dar au ukipenda muite mzee kigogo ,Warioba, mzee wa kuganda hewani , mzee wa inakuja inakata ni dizaini ya hao watu.
T.I.D anajua sana kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa ila sasa ukimpa kisogo tu utapondwa ile mbaya.
Mfano mzuri ni kuhusu ushindani uliopo kati ya Wasafi/Diamond Platnumz na Clouds Media jamaa akiwa kwa Diamond anamsifia kinoma na kumpa kila aina ya sifa , akienda Clouds inakuwa kinyume chake anasifia sana Clouds na kumponda mbaya Diamond Platnumz.
T.I.D aligombana mpaka na swahiba wake wa kitambo QChillah kutokana na tabia hii hii ya majungu na ufitini sasa sijajua kukaa kinondoni kumemfanya kuwa na tabia hizi, maana kinondoni kunaongoza kuwa na watu wanafiki wanafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app