Jamani kuna taarifa toka kwa mshikaji wangu wa karibu ameniambia kwamba,siku ya ijumaa pande za billicanas sehemu ya parking mida ya saa kuni ya usiku alishuhudia ugimvi kati ya hashem thabit na TID,
jamaa anasema hakujua chanzo ila alichoshuhudia ni kuona TID akipigwa mtama a.k.a ngwa a.k.a kata funua nzito sana kutoka kwa hasheem na akaanguka mzima mzima..baada ya hapo ma baunsa waliingilia kisha kumtoa hasheem ambaye aliingia ndani ya vogue yake na kutoweka eneo la tukio.
jamani kama mtu mwingine ana undani zaidi wa mkasa huu naomba atumwagie hapa JF.
jamaa anasema hakujua chanzo ila alichoshuhudia ni kuona TID akipigwa mtama a.k.a ngwa a.k.a kata funua nzito sana kutoka kwa hasheem na akaanguka mzima mzima..baada ya hapo ma baunsa waliingilia kisha kumtoa hasheem ambaye aliingia ndani ya vogue yake na kutoweka eneo la tukio.
jamani kama mtu mwingine ana undani zaidi wa mkasa huu naomba atumwagie hapa JF.