Tiba ya ugumba

Tiba ya ugumba

Hospitali nimeenda ndugu zangu na naambiwa sina tatizo ndio maana nikaja hapa kuomba ushauri kwa ambae ashawahi pitia hii hali au mwenye kujua
Hospital unamuona daktari wa uzazi au general doctor? Kama ulimuona daktari wa uzazi hakukushauri uende na mume wako?

Wanaume wanadhani wao hawana matatizo ya uzazi ila wanayo na yanatibika nenda na mume wako mpate vipimo wote wawili

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom