The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Jamani wataalam wa afya au mwenye kufaham tiba ya mafua,nimesumbulwa na mafua kwa kipindi kirefu sana bila kupona,nimeenda hospitali mbalimbali bila mafanikio.Hivyo naomba mwenye kufaham tiba anijue niweze kupona