Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,831
Ni Miezi Miwili Sasa Toka Niachane Na Msichana Kipenzi Cha Nafsi Yangu,
Chanzo Ni Kwamba Hakutaka Nisikiliza Na Kunishirikisha Katika Uvaaji Wake Wa Suruali Na Kunywa Pombe Pale Nilipomzuia!
Kwa Hasira Na omba Yake Msamaha Nika Jivua(Tukaachana Ila Tukikutana Ni Salamu Tu)
Katika Harakati Za Utafutaji Imenilazimu Kuhama Mji Aliopo...sasa Niko Mbali Nae Yapata Miezi 2(Hakuna Mawasiliano)
Najitambua...Nasema Tena Najitambua Ila Kambi Yangu Inafuka Moshi Si Kidogo,Nilalapo Ndio Auheni Kwangu Kwani Huyu Binti Anatawala Sana Akili Yangu Kiasi Najikip Bize Kusoma Hadith Za Shigongo, Kuperuzi,Mazoezi N.k Ili Kumsahau,Lakini Ari Ni Tete!
Nilichoamua Sasa... Nimtafutie Dawa Itakayomfanya Nae Anipende Na Kunisikiliza Katika Yote Mema,Kama Nisikiavyo Kuwa Kuna Waganga Wa Haya Mambo(Limbwata)
Ama Nipate Dawa Ya Kumsahau Yeye!
Je,Wapi Nitapata Haya Mambo Mbali Na Utapeli Wa Mjini? Kwa Yeyote Anaefahamu AniPM TAFADHARI WAKUU!
NB😛ISHANA NAMI ILA HUSITUKANE ALAMA ZA MIGUU YANGU,KWANI UTOKAKO NDIKO NIENDAKO!
Chanzo Ni Kwamba Hakutaka Nisikiliza Na Kunishirikisha Katika Uvaaji Wake Wa Suruali Na Kunywa Pombe Pale Nilipomzuia!
Kwa Hasira Na omba Yake Msamaha Nika Jivua(Tukaachana Ila Tukikutana Ni Salamu Tu)
Katika Harakati Za Utafutaji Imenilazimu Kuhama Mji Aliopo...sasa Niko Mbali Nae Yapata Miezi 2(Hakuna Mawasiliano)
Najitambua...Nasema Tena Najitambua Ila Kambi Yangu Inafuka Moshi Si Kidogo,Nilalapo Ndio Auheni Kwangu Kwani Huyu Binti Anatawala Sana Akili Yangu Kiasi Najikip Bize Kusoma Hadith Za Shigongo, Kuperuzi,Mazoezi N.k Ili Kumsahau,Lakini Ari Ni Tete!
Nilichoamua Sasa... Nimtafutie Dawa Itakayomfanya Nae Anipende Na Kunisikiliza Katika Yote Mema,Kama Nisikiavyo Kuwa Kuna Waganga Wa Haya Mambo(Limbwata)
Ama Nipate Dawa Ya Kumsahau Yeye!
Je,Wapi Nitapata Haya Mambo Mbali Na Utapeli Wa Mjini? Kwa Yeyote Anaefahamu AniPM TAFADHARI WAKUU!
NB😛ISHANA NAMI ILA HUSITUKANE ALAMA ZA MIGUU YANGU,KWANI UTOKAKO NDIKO NIENDAKO!