Tiba Ya Kutopenda!

Tiba Ya Kutopenda!

Majigo

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
5,519
Reaction score
1,831
Ni Miezi Miwili Sasa Toka Niachane Na Msichana Kipenzi Cha Nafsi Yangu,
Chanzo Ni Kwamba Hakutaka Nisikiliza Na Kunishirikisha Katika Uvaaji Wake Wa Suruali Na Kunywa Pombe Pale Nilipomzuia!
Kwa Hasira Na omba Yake Msamaha Nika Jivua(Tukaachana Ila Tukikutana Ni Salamu Tu)
Katika Harakati Za Utafutaji Imenilazimu Kuhama Mji Aliopo...sasa Niko Mbali Nae Yapata Miezi 2(Hakuna Mawasiliano)
Najitambua...Nasema Tena Najitambua Ila Kambi Yangu Inafuka Moshi Si Kidogo,Nilalapo Ndio Auheni Kwangu Kwani Huyu Binti Anatawala Sana Akili Yangu Kiasi Najikip Bize Kusoma Hadith Za Shigongo, Kuperuzi,Mazoezi N.k Ili Kumsahau,Lakini Ari Ni Tete!
Nilichoamua Sasa... Nimtafutie Dawa Itakayomfanya Nae Anipende Na Kunisikiliza Katika Yote Mema,Kama Nisikiavyo Kuwa Kuna Waganga Wa Haya Mambo(Limbwata)
Ama Nipate Dawa Ya Kumsahau Yeye!

Je,Wapi Nitapata Haya Mambo Mbali Na Utapeli Wa Mjini? Kwa Yeyote Anaefahamu AniPM TAFADHARI WAKUU!

NB😛ISHANA NAMI ILA HUSITUKANE ALAMA ZA MIGUU YANGU,KWANI UTOKAKO NDIKO NIENDAKO!
 
ukistaajabu ya Musa utaona ya Majigo.

Suruali zambi? Wee mbona hakutaka kukubadili uvaavyo?

Hebu kua kwanza.
 
Kuna tatizo gani na suruali?

Kuhusu hilo la kukusikiliza wewe, je na wewe unamsikiliza? Au ukiwa mwanamke basi hauna mapendeleo yako?
Kama ndivyo basi ndugu yangu utaacha wengi. Mahusiano ni compromise na si amri ya mtu mmoja.
 
Aiseeee babaangu da pekee ni kuukata uume wako utapenda tena
nawasilisha hoja
 
eti hakutaka kunisikiliaza, utadhani yeye ni marking scheme ya uvaaji.

Hapo hapo, anatafuta 'limbwata'
hivi na wanamme wana akili ya kuweka limbwata?

Shangaa na wewe bibi hakimu!
 
ukistaajabu ya Musa utaona ya Majigo.

Suruali zambi? Wee mbona hakutaka kukubadili uvaavyo?

Hebu kua kwanza.

sio Dhambi Ila Kutonishirikisha Kama Atabadiri Nilichomuambia, Kulinikasirisha!
 
Kuna tatizo gani na suruali?

Kuhusu hilo la kukusikiliza wewe, je na wewe unamsikiliza? Au ukiwa mwanamke basi hauna mapendeleo yako?
Kama ndivyo basi ndugu yangu utaacha wengi. Mahusiano ni compromise na si amri ya mtu mmoja.

Ni Kweli Na Hasa Mkisikilizana Na Kushrikishana
kwa Mfano Kuna Siku Yeye Alinipangia Kuvaa Kaptura,Nikamtaarifu Kutokuwa Nayo Na Kumuomba Uchaguzi Mwingne Na Mambo Yakawa Sawa!
 
Kukushirikikisha kivipi? Kila atakapotaka kuvaa suruali ni lazima akuombe ruhusa? au unamaanisha nini hasa? FUNGUKA!!! Dah!

sio Dhambi Ila Kutonishirikisha Kama Atabadiri Nilichomuambia, Kulinikasirisha!
 
umeona sasa?

Siku zote kumbuka hili 'choose your battles wisely - King'asti'

unaanzisha ugomvi ambao kumbe hata hauuwezi? Tena inaonekana huyo binti alikuwa keshakuchoka ndio maana hajajali hata kukutafuta.

Unaonekana unapenda kuwa na amri zisizo na maana kwake.

sio Dhambi Ila Kutonishirikisha Kama Atabadiri Nilichomuambia, Kulinikasirisha!
 
Last edited by a moderator:
eti hakutaka kunisikiliaza, utadhani yeye ni marking scheme ya uvaaji.

Hapo hapo, anatafuta 'limbwata'
hivi na wanamme wana akili ya kuweka limbwata?

KONGOSHO Nimekuzoea ,Nishauri basi!
 
Kukushirikikisha kivipi? Kila atakapotaka kuvaa suruali ni lazima akuombe ruhusa? au unamaanisha nini hasa? FUNGUKA!!! Dah!

kila Mtu Anakila Hasichopenda Mpenzi Wake Afanye...Kuna Wengne Hawapendi Wapenzi Wao Wavae Hereni N.k
Mimi Sipendi Mpenzi Wangu Avae Suruali Kwani Ilizidisha Chachu Ktk Muonekano Wa Maungo Yake!
 
Ni Miezi Miwili Sasa Toka Niachane Na Msichana Kipenzi Cha Nafsi Yangu,
Chanzo Ni Kwamba Hakutaka Nisikiliza Na Kunishirikisha Katika Uvaaji Wake Wa Suruali Na Kunywa Pombe Pale Nilipomzuia!
Kwa Hasira Na omba Yake Msamaha Nika Jivua(Tukaachana Ila Tukikutana Ni Salamu Tu)
Katika Harakati Za Utafutaji Imenilazimu Kuhama Mji Aliopo...sasa Niko Mbali Nae Yapata Miezi 2(Hakuna Mawasiliano)
Najitambua...Nasema Tena Najitambua Ila Kambi Yangu Inafuka Moshi Si Kidogo,Nilalapo Ndio Auheni Kwangu Kwani Huyu Binti Anatawala Sana Akili Yangu Kiasi Najikip Bize Kusoma Hadith Za Shigongo, Kuperuzi,Mazoezi N.k Ili Kumsahau,Lakini Ari Ni Tete!
Nilichoamua Sasa... Nimtafutie Dawa Itakayomfanya Nae Anipende Na Kunisikiliza Katika Yote Mema,Kama Nisikiavyo Kuwa Kuna Waganga Wa Haya Mambo(Limbwata)
Ama Nipate Dawa Ya Kumsahau Yeye!

Je,Wapi Nitapata Haya Mambo Mbali Na Utapeli Wa Mjini? Kwa Yeyote Anaefahamu AniPM TAFADHARI WAKUU!

NB😛ISHANA NAMI ILA HUSITUKANE ALAMA ZA MIGUU YANGU,KWANI UTOKAKO NDIKO NIENDAKO!
Sikushauri suala la kutumia limbwata, nakuhakikishia badala ya kufurahi itakuwa ni kero kwako......... Utakuwa unafuatwa hadi chooni, utatamani ku-reverse the effect ya hilo limbwata, na hautaweza........
Cha msingi ni kukubaliana na hali halisi........... kubali yaishe, hujui Mungu anakuepusha na balaa gani mkuu, kulazimisha sana, mwisho wake utakuja kulilia chooni kwa kujificha mkuu
Kubaliana na hali halisi, after that kila kitu kitakuwa rahisi sana, take it from me brother.....
Wanasema time heals, relax endelea na maisha, halafu utaona mambo yatavyojipa, utampata mnaependana kwa dhati.
Ni hayo tuu mkuu, thats my advice, all in all the decision is yours kaka!! All the best.....
 
Hujajibu swali, uliandika hivi, "Ila Kutonishi rikisha Kama Atabadiri Nilichomuambia, Kulinikasirisha!" mimi nimekuuliza akushirikishe kwenye nini? unataka akuombe ruhusa kuvaa suruali ili asizidishe chachu katika muonekano wa maungo yake!? au una maana gani unaposema akushirikishe!? Kwa maoni yangu kuvaa suruali si kosa hata kama anapenda kunywa pombe lakini kwa kiasi hamtukani mtu wala kuanzisha ugomvi basi hakuna tatizo ila kama anakunywa mpaka anapitiliza na kutojifahamu kile akifanyacho basi inabidi muongee badala ya kususa.

kila Mtu Anakila Hasichopenda Mpenzi Wake Afanye...Kuna Wengne Hawapendi Wapenzi Wao Wavae Hereni N.k
Mimi Sipendi Mpenzi Wangu Avae Suruali Kwani Ilizidisha Chachu Ktk Muonekano Wa Maungo Yake!
 
Hahahaaaaa! Mfumo dume nao! Inaonekana kafungashia sana huyo bi dada akivaa suruali roho inakuenda mbio!!!! Kama unataka asievaa suruali, na anaekusikiliza, we nenda katafute KIJIJINI, wa huku mjini, tumeshajichokeaaa longi, UKOLONI MAMBOLEO umetutawala mapaka fikra!!!! Usawa mpaka mavazi!!! Hadi kitandani TUNAWAHI WOMAN ON TOP!!! Ikishindikana tunasettle for 69 position!!! LOL!!!

Shukuru umeishi zama za suruali, manake huko mbeleni wazungu watatembea bila nguo, na huku bongo lazima tuige!!!!
 
kikubwa, hebu kaa ujifanyie kazi wewe mwenyewe.

Usipende kuwa 'dictator' kwenye mahusiano, wadada watakukimbia wote.

Unamwambia leo asivae suruali, wkati ukute ameanza vaa tangu kazaliwa, utawezaje?

Unatakiwa ku-accomodate mabadiliko hayo.

Sasa hivi mwache kwanza huyo binti, wala usimtafute maana bado umepanic. Napima panic hii kwa wewe kutaka kutafuta suluhisho la Limbwata.

KONGOSHO Nimekuzoea ,Nishauri basi!
 
Sikushauri suala la kutumia limbwata, nakuhakikishia badala ya kufurahi itakuwa ni kero kwako......... Utakuwa unafuatwa hadi chooni, utatamani ku-reverse the effect ya hilo limbwata, na hautaweza........
Cha msingi ni kukubaliana na hali halisi........... kubali yaishe, hujui Mungu anakuepusha na balaa gani mkuu, kulazimisha sana, mwisho wake utakuja kulilia chooni kwa kujificha mkuu
Kubaliana na hali halisi, after that kila kitu kitakuwa rahisi sana, take it from me brother.....
Wanasema time heals, relax endelea na maisha, halafu utaona mambo yatavyojipa, utampata mnaependana kwa dhati.
Ni hayo tuu mkuu, thats my advice, all in all the decision is yours kaka!! All the best.....

Shukrani Sana Ndugu!
Homa Ya kupenda,Ni Mbaya Sana Aisee!
Mazingira Ninayoishi Yametawaliwa Na Yeye Tu;Nione Msichana Mzuri...Fikra Zitaenda Kwake Yeye Na Kumuona Yeye Ndo Zaidi,Nisikie Nyimbo Nzuri Ya Mapenzi...fikra Ni Kama Imeimbwa Kwa Ajili Yake!
Aisee Huu Ugonjwa MBAYAAAA....!
Ushauri Wako Utanifaa Ndugu!
Naomba Sana Mungu Nijiepushe,
Dah!
 
Back
Top Bottom