Langu
Member
- Nov 20, 2011
- 37
- 9
Salam kwenu wana MMU,
Natumaini wote ni wazima wa afya na kama ni tofauti natoa pole.
Nahitaji ushauri kuhusu binti kama huyu anayenisumbua sana na sijui nifanyeje kwake aamini kwa sasa aniaamini siko nae tena?
Nilikua kwenye mahusiano na binti mmoja na nilimpenda ila baadae akaanza kunicheat na kuwa jeuri sana kwangu mpaka mda mwingine nilikawa najiuliza nifanyeje atulie.
Kutokana kwamba huyo binti nilimpenda nilitumia mda mwingi kumshauri ila akawa mgumu kubadilika.
Nilivoona imeshindikana ikabidi niachane nae na nikamwambia kabisa mimi na yeye basi na wala hakujali kauli yangu.
Kutona na hilo niliingia baadae kwenye mahusiano na binti mwingine na huyu sasa akaonekana ni mwenye heshima na mwaminifu sana kwangu, cha kushangaza baada ya kujua kuwa nimeingia kwenye mahusiano mengine alimtafuta huyo dada na kumpa vitisho kuwa aniache la sivyo atamwendea kwa kalumanzila.
Huyu binti wa sasa wala hakukata tamaa akaendelea kunipenda na kwa sasa nimemuoa, na ni mke halali wa ndoa.
Yule X alipata taarifa kuwa nimeoa sikujua alichukuliaje ila sikuona response yeyote, ingawa kabla mimi sijaoa ndo niko kwenye process huyo X akanitumia picha Facebook akiwa amemkumbatia mkaka na kuniambia ni mchumba wake na mwenzi wa kumi na mbili mwaka jana wanaoana, mi nikampa hongera na go ahead.
Cha kushangaza baada ya mimi kuoa amekua akisumbua sana, anatafuta namba yangu ya simu kwa rafiki zangu wa facebook, mara ananitumia sms za mapenzi facebook na kila hatua yake anayopitia anataka nami niwe updated, jambo ambalo naona sio zuri na litakuja niaribia usalama wa ndoa yangu.
Nifanyeje wana JF kuhusu huyu dada, na anamaanisha nini wakati alishanitumia picha ana boyfriend na mi pia nataka ndoa yangu hisiwe na migogoro?
Natumaini wote ni wazima wa afya na kama ni tofauti natoa pole.
Nahitaji ushauri kuhusu binti kama huyu anayenisumbua sana na sijui nifanyeje kwake aamini kwa sasa aniaamini siko nae tena?
Nilikua kwenye mahusiano na binti mmoja na nilimpenda ila baadae akaanza kunicheat na kuwa jeuri sana kwangu mpaka mda mwingine nilikawa najiuliza nifanyeje atulie.
Kutokana kwamba huyo binti nilimpenda nilitumia mda mwingi kumshauri ila akawa mgumu kubadilika.
Nilivoona imeshindikana ikabidi niachane nae na nikamwambia kabisa mimi na yeye basi na wala hakujali kauli yangu.
Kutona na hilo niliingia baadae kwenye mahusiano na binti mwingine na huyu sasa akaonekana ni mwenye heshima na mwaminifu sana kwangu, cha kushangaza baada ya kujua kuwa nimeingia kwenye mahusiano mengine alimtafuta huyo dada na kumpa vitisho kuwa aniache la sivyo atamwendea kwa kalumanzila.
Huyu binti wa sasa wala hakukata tamaa akaendelea kunipenda na kwa sasa nimemuoa, na ni mke halali wa ndoa.
Yule X alipata taarifa kuwa nimeoa sikujua alichukuliaje ila sikuona response yeyote, ingawa kabla mimi sijaoa ndo niko kwenye process huyo X akanitumia picha Facebook akiwa amemkumbatia mkaka na kuniambia ni mchumba wake na mwenzi wa kumi na mbili mwaka jana wanaoana, mi nikampa hongera na go ahead.
Cha kushangaza baada ya mimi kuoa amekua akisumbua sana, anatafuta namba yangu ya simu kwa rafiki zangu wa facebook, mara ananitumia sms za mapenzi facebook na kila hatua yake anayopitia anataka nami niwe updated, jambo ambalo naona sio zuri na litakuja niaribia usalama wa ndoa yangu.
Nifanyeje wana JF kuhusu huyu dada, na anamaanisha nini wakati alishanitumia picha ana boyfriend na mi pia nataka ndoa yangu hisiwe na migogoro?