Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,260
Tatizo hawa waandaji ya bss na tusker project fame hata american idol wanachofanya wanatengeneza bubble gum musician...we huwezi mchukua mtu kisa anajua kuimba akiwa bafuni ukampa mazoezi ya wiki 2 hadi miezi 4 ukategemea atakuja kuwa mwanamziki mkubwa...sidhan ka elimu ingekuwa inatolewa hivyo tungekuwa na madokta na maprofesa....historia inajionyesha wasanii walioweza kuhimili mikikimikiki ya mziki wamekuwa kwe tasnia mda mrefu kabla hata hawajajulikana na nadhan ndo kitu kinachofanya Tht waweze toa wasanii wazuri kwani hadi wagraduate pale kuna madogo waliojifunza mziki hadi miaka mitatu mle ndani...maoni yangu
1.BSS:Tatizo haya mashindano wanaangalia mtu anayeimba vizuri kwa kucopy nyimbo za wasanii wengine(wana-Timbulolize) kitu ambacho si sahihi,ilitakiwa tuone uwezo wao kwa kuimba tungo zao wenyewe.kucopy na kuedit ni kitu rahis sana.
2.Media Suport kwa THT: uwepo wa Clouds Fm ambayo inasadikika ni powerful radio in tz kwenye ishu za burudan unawaboost sana ukizingatia ndo wamilik wa tht.BSS,mtu kama Kala Jeremiah ni product pekee niliyokuwa naikubali na jamaa yuko vzuri kiukwel lakin media zinambania sana.
ADDITION: Mwanzon nilikuwa siwakubali kabisa THT,nilihisi hawana kitu zaid ya kubebwa.fact: wanabebwa ndio kwa promo ya kutosha ila mtu kama BARNABA anadeserve such promo jamaa amekamilika,wengine kama AMIN,LINA,MWASITI,DITO,RECHO ni wasanii wazuri pia.
wangekuwa wanania nzuri nao kweli mi nazan media isingekuwa tabu coz bibie Rita nasikia yupo Close sana na mengi,so ilikuwa ni swala la kumuomba tu muheshimiwa awaambie watangazaj wake kutoa sapot ya kutosha kwa hizo product kama wafanyavyo cloudz kwa tht Raia Fulani
wangekuwa wanania nzuri nao kweli mi nazan media isingekuwa tabu coz bibie Rita nasikia yupo Close sana na mengi,so ilikuwa ni swala la kumuomba tu muheshimiwa awaambie watangazaj wake kutoa sapot ya kutosha kwa hizo product kama wafanyavyo cloudz kwa tht Raia Fulani
Mjini Mipango wadau....hata hao vijana wa tht tunaowaona nang'aa ukiwafatilia unaweza kusikia hawanufaik na chochote kwenye kaz zao zaid ya kuvaa na kujulikana.....unadhan rughe atawapa promo kijingajinga???ameshawatumia wasanii wangapi???
1.BSS:Tatizo haya mashindano wanaangalia mtu anayeimba vizuri kwa kucopy nyimbo za wasanii wengine(wana-Timbulolize) kitu ambacho si sahihi,ilitakiwa tuone uwezo wao kwa kuimba tungo zao wenyewe.kucopy na kuedit ni kitu rahis sana.
2.Media Suport kwa THT: uwepo wa Clouds Fm ambayo inasadikika ni powerful radio in tz kwenye ishu za burudan unawaboost sana ukizingatia ndo wamilik wa tht.BSS,mtu kama Kala Jeremiah ni product pekee niliyokuwa naikubali na jamaa yuko vzuri kiukwel lakin media zinambania sana.
ADDITION: Mwanzon nilikuwa siwakubali kabisa THT,nilihisi hawana kitu zaid ya kubebwa.fact: wanabebwa ndio kwa promo ya kutosha ila mtu kama BARNABA anadeserve such promo jamaa amekamilika,wengine kama AMIN,LINA,MWASITI,DITO,RECHO ni wasanii wazuri pia.
kutumiwa hilo ni suala lingine, lakini cha msingi wanasikika vya kutosha. Hapo sasa ni akili vichwani mwao, maadam wana majina
Tatizo radio one na itv zimekaa kitaifa sana. Capital fm haivumi. Labda eatv. Clouds they mean business