Nimepokea kwa furaha taarifa kuwa kuna Wanazuoni wanaoenda Ughaibuni kuongeza maarifa.
Ndugu zetu hawa wanaelekea Harvard University, International Institute of Social Studies,University of Maryland na American University. Natumai kuna wengine pia.
Nachukua fursa hii kuwapongeza wote kwa kupigia hatua. Na napenda kuwakumbusha msiisahau nchi yetu ya Tanzania na watu wake. Ndio, tunawategemea sana enyi wasomi wetu!
http://groups.yahoo.com/group/wanaz...zZWMDdnRsBHNsawN2Z2hwBHN0aW1lAzEyODAzMjA1Nzc-