Three Ugandan Choppers go missing in Kenyan Airspace!

Hii safari ilikuwa ikifanyika USIKU WA MANANE na kulingana na rubani aliyenusurika alisema mlimani mvua ilikuwa nyingi mno na kukawa na kupotea kwa mawasiliano. Kwa hivyo given that scenario, imawezekana chopper tatu kuanguka kwa safari moja.

Two Uganda soldiers dead in Kenya

Mkuu helikopta haziwezi kukosa mawasiliano zenyewe kwa zenyewe kama zinatumia HF/VHF frequency kwenye mawasiliano ,hata kama mvua inanyesha ya namna gani! Ingekuwa mawasiliano yako kwenye microwave-band basi mvua ingefanya mawasiliano kukatika.

Chopper aina ya (HIND) Gunship ni very sophisticated sana - ni all weather fighter, aijalishi kama ni usiku,mchana,mvua, mawingu au milima ya Everest, alafu cruising altitude above sea level inaiwezesha ku-clear milima yote Nchini Kenya na Uganda (Duniani). Ajali hii inashangaza sana, hivi marubani walikunywa kidogo pale Nanyuki au? Alafu, hivi ni nani anatoa ruhusa ya umbali wa kuruka kutoka aridhini (cruising altitute above sea level) nani anatoa taharifa ya hali ya HEWA kwa CREW wanapo ingia hanga la nchi ngeni, je nani anapaswa kuhakikisha usalama wa ndege zinapo kuwa hangani - hii nadhani ni kazi ya AIR/traffic Controller unless na wao kama walikuwa wamelala which is highly unlikely, hawa wanaona kabisa kwenye rada zao kama ndege zinataka kugongana zikiwa kwenye same altitude na wanatoa taharifa kwa marubani. Lakini looking back ajali hii kidogo inafanana na ajali iliyowahi kutokea wakati John Garang alipo kuwa anasafili na chopper aliyo pewa na M7, nayo iligonga milima lakini hiyo ilikuwa ya kubeba troops siyo Gunship, Gunship ni vigumu kuaguka ovyo au kugonga milima bila mpangilio.

Mwisho labda niseme nikichekesho kusema ndege kama hizo zinaruka bila ya kuwa na RADA kenywe nose, ndege karibu zote zina kifaa hicho, iweje ndege za kijeshi.
 
Two Ugandan airforce soldiers confirmed dead in helicopter crash on Mount Kenya while on its way to strengthen a planned assault on Al-Shabaab militants in southern Somalia. Eight soldiers rescued on Tuesday were all from the third chopper which was found overturned at the base of a valley nearby. The eight survivors had walked away from the wreckage towards the rainforest.

Fate of five soldiers remains unknown with fears that they may have perished in the fierce fire. Three of four helicopters that took off in Nanyuki on Sunday went down due to bad weather.

Two Ugandan airforce soldiers have been confirmed dead in the helicopter crash in Mount Kenya as eight more of their colleagues were rescued and evacuated from the mountain on Tuesday afternoon. However, the fate of their five colleagues in that chopper remains unknown, with fears that they may have perished in the fierce fire although their bodies are yet to be found.

All the survivors from trd. All the survivors from the trio of crashes are now presumed to have been rescued, with only a recovery operation for the bodies of the dead remaining. In addition to the eight soldiers rescued Tuesday, seven were rescued on Monday. According to the KWS Senior Warden in charge of Mount Kenya, Mr Simon Gitau, a search and rescue team found two more wreckages barely a kilometre from that one found on Monday. “We found two bodies, one of the pilot which was still strapped on the seat, and another a few metres away. The helicopter was burnt to ashes in the middle part,” said Mr Gitau.

The eight survivors were all from the third chopper which was found overturned at the base of a valley nearby. The eight survivors had walked away from the wreckage down towards the rainforest. “The search team that had assembled at the crash site with dogs to track them was called off after the Ugandan soldiers communicated with KDF using phones and said where they could be picked up,” added Mr Gitau. They were picked up by two helicopters from Tropic air and taken directly to the airbase. The distance between the three crafts was less than a kilometre, with Mr Gitau saying that flying around Mt Kenya is very treacherous, especially in bad weather. Earlier in the morning, the Laikipia airbase commander Brigadier Francis Ogolla said that the four helicopters had taken off from Nanyuki on Sunday at 4.20pm but the three had gone down in bad weather barely 30 minutes later. By mid afternoon, a team from the Kenya Airforce and Kenya Wildlife Service left Nanyuki airstrip for the mountain to recover the bodies.

source http://www.theeastafrican.co.ke/news/Two+Uganda+soldiers+dead+in+Kenya+s+chopper+crash/-/2558/1479090/-/ra6ocn/-/index.html
 
MOD Tafadhali change topic iwe 'UG soldiers found dead!! 'sorry device error

Heartfelt condolences to the uganda Airforce soldiers who perished
 
article-0-148A842A000005DC-105_634x474.jpg


Survivor: Lt. Col. Chris Kasiji, a senior Ugandan air force pilot lies next to the wreckage of his helicopter which crashed into Kenya's highest mountain on Sunday


article-0-1488E69B000005DC-446_634x420.jpg


Wreckage: Three heavily armed Russian-built MI-24 'Hind' gunships crashed in rugged terrain on Sunday.



article-0-1488F42B000005DC-172_634x420.jpg





article-0-148906C4000005DC-428_634x420.jpg


Rescue workers tend to a survivor at one of the crash sites approximately 12,000 feet up Mount Kenya.


article-0-1488DF4E000005DC-269_634x420.jpg


Bad weather was reported around Mount Kenya- Africa's second tallest peak - at the time of the crash












 
article-0-1488E9CC000005DC-953_634x420.jpg


The three helicopters that crashed were Russian made Mi-24 gunships. A fourth helicopter that landed safely was an Mi-17 transporter.


article-0-1488EF5E000005DC-894_634x420.jpg


Kenyan wildlife rangers and army soldiers carry a dead body from one of the crash sites.


article-0-1488E34C000005DC-977_634x420.jpg


A Ugandan government spokesman said the trip to Somalia had been planned three months in advance. He insisted the helicopters were in good condition and had recently passed safety tests.




 
No weather forecasts/reports in Kenya? Couldn't they have avoided flying near Mt. Kenya? Anyway, RIP to the dead but questions remain hanging for the Uganda and Kenya air forces and weather institutions. Flying requires high security precaution including planning your flight route.
 
No weather forecasts/reports in Kenya? Couldn't they have avoided flying near Mt. Kenya? Anyway, RIP to the dead but questions remain hanging for the Uganda and Kenya air forces and weather institutions. Flying requires high security precaution including planning your flight route.

Poleni sana familia ya waathiriwa
 
RIP wafiwa,

Something is fishy in Kenya's aviation authority, i thought the recent helo crash that killed Prof. Saitoti would serve as a wake-up call...:hat:
 
Am very sorry and extend my sympathy to the families and Uganda people. May God give them strength.
 
Four foreign military aircraft albeit from a friendly neighbour, overflying your territory, carrying potentially lethal armaments and you don't track them? If some one requested to cross my land carrying a little box of machetes, I would want to be sure of his every movement. It takes more than 12 hours for the crash site to be reached when it is an accident of this magnitude? And whatever were those pilots doing flying into mountain territory? Looks like geography has become optional. Reminds me of Citizen TV repeatedly informing viewers that the recent bus accident had happened in Tanga!(with a smart looking map animation..... :eek2:). Geography!
 
Four foreign military aircraft albeit from a friendly neighbour, overflying your territory, carrying potentially lethal armaments and you don't track them? If some one requested to cross my land carrying a little box of machetes, I would want to be sure of his every movement. It takes more than 12 hours for the crash site to be reached when it is an accident of this magnitude? And whatever were those pilots doing flying into mountain territory? Looks like geography has become optional. Reminds me of Citizen TV repeatedly informing viewers that the recent bus accident had happened in Tanga!(with a smart looking map animation..... :eek2:). Geography!

They had made stops in two military bases, their destination was known ,why do you need to be behind their backs?
 
Mkuu helikopta haziwezi kukosa mawasiliano zenyewe kwa zenyewe kama zinatumia HF/VHF frequency kwenye mawasiliano ,hata kama mvua inanyesha ya namna gani! Ingekuwa mawasiliano yako kwenye microwave-band basi mvua ingefanya mawasiliano kukatika.

Chopper aina ya (HIND) Gunship ni very sophisticated sana - ni all weather fighter, aijalishi kama ni usiku,mchana,mvua, mawingu au milima ya Everest, alafu cruising altitude above sea level inaiwezesha ku-clear milima yote Nchini Kenya na Uganda (Duniani). Ajali hii inashangaza sana, hivi marubani walikunywa kidogo pale Nanyuki au? Alafu, hivi ni nani anatoa ruhusa ya umbali wa kuruka kutoka aridhini (cruising altitute above sea level) nani anatoa taharifa ya hali ya HEWA kwa CREW wanapo ingia hanga la nchi ngeni, je nani anapaswa kuhakikisha usalama wa ndege zinapo kuwa hangani - hii nadhani ni kazi ya AIR/traffic Controller unless na wao kama walikuwa wamelala which is highly unlikely, hawa wanaona kabisa kwenye rada zao kama ndege zinataka kugongana zikiwa kwenye same altitude na wanatoa taharifa kwa marubani. Lakini looking back ajali hii kidogo inafanana na ajali iliyowahi kutokea wakati John Garang alipo kuwa anasafili na chopper aliyo pewa na M7, nayo iligonga milima lakini hiyo ilikuwa ya kubeba troops siyo Gunship, Gunship ni vigumu kuaguka ovyo au kugonga milima bila mpangilio.

Mwisho labda niseme nikichekesho kusema ndege kama hizo zinaruka bila ya kuwa na RADA kenywe nose, ndege karibu zote zina kifaa hicho, iweje ndege za kijeshi.

Mkuu, hata sijui tuseme aje,

unajua ikija hiyo mambo ya COMM/RF na radar, nabaki tu nimepotea. Lakini swali, hii ni improved version ya HIND A, HIND B or HIND D tactical multirole chopper, ambayo iko na anti tanks guided weapons pylons?! Kwa sasa tungoje tu kama kawa kamati ya kuchunguza kiini halisi cha ajali hiyo.

lakini unajua upepo mkali wa milimani unaweza sababisha ajali ni tukio imeshawahi tokea hata ulaya. Tena haiwezekani walikuwa wamekunywa pombe wakati wa kuanza safari maana hawa walikuwa katika safari ya kuelekea kupigana na AS. Kwa hivyo hii ilikuwa mission critical.
 
Back
Top Bottom