PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
M4C YATUA NYUMBANI KWA OLE SENDEKA HUKO TERATI SIMANJIRO
Jackson Makala na James Olle Millya
HII ILIKUWA JANA
M4C YATUA NYUMBANI KWA OLE SENDEKA HUKO TERATI SIMANJIROJackson Makala na James Olle Millya
Wananchi wakigombea kadi kutoka kwa Lema
Kwenye mkutano
Chadema mbona mnaleta uhuni hii picha inamuonesha Lema yupo Simanjiro leo, kuna uzi mwingine umeanzishwa na Mungi, anasema Lema yupo Arusha.
hukuwa na sababu za msingi ku quote ujumbe mzima na picha, so annoyingChadema mbona mnaleta uhuni hii picha inamuonesha Lema yupo Simanjiro leo, kuna uzi mwingine umeanzishwa na Mungi, anasema Lema yupo Arusha.
Ritz, ndg yangu hiyo chadema, wanaweza kufanya mikutano hata kumi kwa siku, karibu chadema, njoo tuunganishe nguvu zetu, acha kutumika kuipinga chadema, tupo kwa ajili ya ukombozi wa mwanao, dada yako, baba yako na hata shangazi yako, M4C haitasalimisha chochote, take my pointChadema mbona mnaleta uhuni hii picha inamuonesha Lema yupo Simanjiro leo, kuna uzi mwingine umeanzishwa na Mungi, anasema Lema yupo Arusha.
Now i believe that CCM is going to be opposion part soon
chadema mbona mnaleta uhuni hii picha inamuonesha lema yupo simanjiro leo, kuna uzi mwingine umeanzishwa na mungi, anasema lema yupo arusha.
..jamani wapi naweza kununua shuka kama lile analovaa Dr.Slaa??
..nahitaji kama matatu hivi niwe navaa nikienda kazini!!