ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Kapiga cha mswangaMkuu unaruhusiwa kufanya hivyo vitu wakati uko higher (umepiga cha Arusha au cha kimbiji)?
Kapiga cha mswangaMkuu unaruhusiwa kufanya hivyo vitu wakati uko higher (umepiga cha Arusha au cha kimbiji)?
Ooh!!Nini hasa sababu ya kufanya yote hayo? Kwa faida gani?



Aliyepuliza kushabu ya kimbiji utamgunduajeMkuu unaruhusiwa kufanya hivyo vitu wakati uko higher (umepiga cha Arusha au cha kimbiji)?
Hizo ungeweka hapa tu.. maana hata uliyoandika yamejadaliwa sana humuOoh!!
Kuna faida ambazo nilielezewa mwanzo kabla ya kufanya vitendo hivi! Na pia hasara zake!
Nitaandaa uzi maalumu kuonesha yale niliyoyapitia katika vitendo vyote hivyo nikihusisha faida ambazo nimezishuhudia mimi kama mimi na hasara ambazo zilinikumba!!
Mkuu hapa kuna tofauti gani na mtu ambaye akili yake inamuendesha (aliyewehuka)??Siku zote hakuna jambo la kitofauti ambalo huwa linanipita bila ya kulifanyia jaribio!! Ideas za kuyafanya haya yote nilizitoa kwa watu fulani! Na ilikusudi hufanikishe haya yote, unahitaji utulivu wa hali ya juu!! Binafsi sidhani kama mtu ambaye yuko hallucinated kuwa anaweza kufanya haya, ni vigumu, ni utulivu wa hali ya juu!! Ila yatakapoanza kukutokea puani hapo hata knowledge ya utulivu sidhani kama itatumika tena, make nafsi yako itakuwa inajiendesha huku unaona!
Make kuna wakati unaweza ukawa unaona unaishi, ghafla ukapitiwa na gari kiasi cha kupata ajali mbaya, kumbe ni ndoto! Lakini ilikuwa inacheza kwenye uhalisia!! Kuna wakati unapoitazama saa yako ya mkononi utaona ina mshale mmoja, tena wenyewe unaelekea kushoto!!
Labda jaribu kwa kutumia binaurial beats!!
Ile ina chumvichumvi ya bahari,ukipuliza moja Tu Mzee inakupeleka vibaya mnoAliyepuliza kushabu ya kimbiji utamgunduaje
Naweza sema utofauti upo,Mkuu hapa kuna tofauti gani na mtu ambaye akili yake inamuendesha (aliyewehuka)??
Nakubaliana nawe na nimekuelewa kiasi fulani,Naweza sema utofauti upo,
Make kila tukio la tofauti linapopita, utakuwa excited lakini nafsi yako itatulizwa ghafla!
Mfano, ishawahi kukutokea kuwa uko unaongea na mtu fulani mko mahali fulani, halafu maneno unayoyazungumza au anayoyazungumza, unagundua kuwa ushawahi zungumza naye au ashawahi kuyazungumza, unastaajabu, kisha maisha yanaendelea! Unaweza kukuta hata mazingira mliopo ndo yaleyale! Waswahili husema ni kujirudia kwa matukio!
Nikikwambia kuwa tukio la mwanzo lilikuwa ni ndoto ambayo hukuwahi kuigundua unaweza kunielewa?
Hali hii inakuwa kama hivi, sema kwa aliye activate nafsi, haya mambo yanakuwa kwa frequency kubwa! Yapo mengi ya kueleza! Jamii forums ingelikuwa na system ya voice note! Mngefaham mengi zaidi niliyoyapitia!
Ok, ngojea nirudi darasani, ntakujibu kwa haka ka uelewa kangu kadogo nilikonako!Nakubaliana nawe na nimekuelewa kiasi fulani,
Nikuulize kitu nje ya mada kidogo, hivi ndoto zinatengenezwa katika katika nyanja ipi ya mwili?